Mzanzibara
Member
- Sep 15, 2010
- 14
- 0
- Thread starter
- #21
Nyie mnaojifanya wasomi wakati ni wavivu wa kufikiri acheni hizo,ni wapuuzi na ccm itawafanya kama kondomu.Baada ya kuwatumia na mikopo mtaendelee kupata kwa shida.Mlitaka wananchi waandamane ndipo mjue kuwa uchakachuaji ulifanyika.Ninawapongeza wabunge wa Chadema kwa kufanya hivyo na tunasubiri mchanganuo jinsi hawa walivyoiba mpaka dunia nzima ielewe huyu jamaa si rais halali ila katiba mbovu ndio inamuweka madarakani.Hongera sana Chadema na tunasubiri taarifa rasmi kuhusu jinsi mafisadi hawa walivyoiba kura.
Wananchi wataandamana??Mdau mmoja kaniambia jana wabunge wa chadema walikuwa wanakunywa wine baada ya kutoka nje ya bunge pale dom hotel,tena kwa hela yetu wavuja jasho.Wote wezi tu