Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
Issue ya Ben Kubenea anaijua vizuri acheni kuhangaika. Gazeti hilohulo la Mwanahalisi kimewahi kuandika Ben ameonekana kwenye vijiwe vya kahawaUkweli ni kwamba wenye mitandao wameshapewa onyo dhidi ya mawasiliano ya Ben Saanane. Namba zake zitakuwa in black list. Maafisa usalama wanakumbuka gazeti la mwanahalisi lilivyowaanika kwenye sakata la Ulimboka. Na kwa bahati mbaya hao wa mitandao hawako huru. Kumbuka sababu za kubadilishwa badilishwa majina kabla ya kustukiwa.
Na boss alishatoa tahadhari tena kwa ukali kuwa hawako huru that much. Hivyo kunawakati inabidi waugulie rohoni, wakifungua midomo watajikuta wanahamisha virago.