Tamko la Serikali

SANKA

Member
Oct 3, 2011
21
0
Wadau tunaomba mwongozo kuhusu Kauli ya serikali kuhusu uwajibikaji wa mawaziri kujihuzulu je Pinda keshatoa mwongozo
 
Bado mchakato unaendelea bado hajatoa tamko. Atatoa wakati anatoa hoja ya kuahirisha bunge baada ya hoja zilizoko mezani.
 
Anaongea profesa Maghembe anazungumzia umuhimu wa kilimo na kauli mbiu mbali mbali kama:- Kilimo ni uhai, kilimo cha kufa na kupona na sasa kilimo kwanza. Ila kinakua kwa 4.2% tu.
 
Bunge linaendelea, nafikiri wakati wa kuahirisha bunge atatoa tamko. ninachojua ni kwamba atalialia kama kawaida yake
 
Anaongea profesa Maghembe anazungumzia umuhimu wa kilimo na kauli mbiu mbali mbali kama:- Kilimo ni uhai, kilimo cha kufa na kupona na sasa kilimo kwanza. Ila kinakua kwa 4.2% tu.

Siyo Maghembe anayeongea. Ni Prof. Peter Msolla
 
Bunge linaendelea, nafikiri wakati wa kuahirisha bunge atatoa tamko. ninachojua ni kwamba atalialia kama kawaida yake

Mkuu akilia safari hii hakuna mtu wa kumbeleza, watu wanataka kauli tu na siyo machozi ili wajue nini kifanyike.
 
Mkuu akilia safari hii hakuna mtu wa kumbeleza, watu wanataka kauli tu na siyo machozi ili wajue nini kifanyike.

na asipotoa maamuzi alivyoahidi, watanzania wataamua wenyewe!
huu upepo ni mwingine, na mungu amewanyima ufahamu hawa magamba, mwaka huu mpaka watapata aibu
 
Yani hakuna jipya tutegemee kutoka kwa Pinda.
Ikulu imetoa taarifa kuwa Rais hana taarifa yoyote ya Pinda kuhusu mambo yaliyojiri bungeni.
Pamoja na hayo JK kasema "huu ni upepo utapita" sijui upepo upi!!!!!!!!!!!!
 
mwenyewe huyu hapa
 

Attachments

  • P_Apr23_173402.jpg
    P_Apr23_173402.jpg
    34.3 KB · Views: 102
Paulina Gekul (dada yangu) anasisitiza kuwa ni sahihi kushinikiza waziri mkuu kujiuzulu, kwa maana ya kuiwajibisha serikali
 
eee mwenyezi mungu tuongezee hekima na busara kwa sisi wabunge ili tufanye maamuzi sahihi
mbona wabunge wengi wa ccm hawataki kumwajibisha PM
 
vitalu vinagawiwa hovyo...wizara imegeuka kuwa dalali...wananchi wanaopakana na mbuga wanateseka sana
 
Back
Top Bottom