James .L.Laiser mgombea wako Lowassa na mmasai mwenzako hivi anaweza kuongea hata kwa dakika mbili akikemea rushwa na ufisadi?
Ndugu naomba tuheshimiane sana! Kama wewe unatumia Makalio kufikiri,basi mimi natumia kichwa!
Nani kakuambia Lowassa ni mgombea wangu?
Sinaga tabia ya kisengelenyuma ila labda wewe ndie unae.
Nimemtaja Lemutuz kwa kuwa wakati Cdm inawashuulikia Wasaliti na Wahaini, yeye alikua mstari wa mbele Kushadadia. Leo Baba yake anajibiwa na kina Mgeja na kukosolewa ndipo napokumbuka kwamba kumbe na Lemutuz huwa ni mpuuzi km baba yake!