Tamko la M/kiti CCM MKoa wa Shinyanga dhidi ya Malecela, Makonda

mkuu Manyerere Jackton usimalize kwanza huyo muache unatakiwa kufahamu kuwa lowasa ni tishio kwa chadema kwa hiyo lazima waweweseke.

Maana linapo kuja swala la lowasa chadema wana gawanyika! Lowasa ni kiboko ya chadema.

utakuwa unaota ndoto za jua kali!!! pamoja daima ndio habari ya mujini!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nyerere alisha mkataa Lowassa kuwa ni mwizi wa mali za umma! Nyerere pia alimkataa Malecela kuwa hafai kuwa Rais wa Tanzania! Lowassa amejisafisha lini na kauli ya Nyerere kuwa yeye ni mwizi wa mali za umma
 
wap mzee malechela?????teh,teh,akili yake imeanza kuchokaa

Teh,teh,teh,teh,,,,ha ha ha ha ha ha ha ha! Jamani mbavu zangu mie!
Kumbe Lemutuz ujinga alionao amekopi kwa baba?
Kweli nimeamini ukiwa Mzigo lazima uzae mtoto MZIGO!

Mzee Malecela ni Mzigo ila Lemutuz ni MZIGO zaidi.Huu ndio mwisho wa Ccm baada ya Chadema kuvuka salama kwa Wasaliti sasa ni zamu ya Ccm kwa Mafisadi na mizigo je watavuka salama?
 
Wewe Mgeja aliye kutuma umsemee Lowasa ninani au unajipendekeza siku akiwa katika kiti cha enzi na wewe ukumbukwe
 
Teh,teh,teh,teh,,,,ha ha ha ha ha ha ha ha! Jamani mbavu zangu mie!
Kumbe Lemutuz ujinga alionao amekopi kwa baba?
Kweli nimeamini ukiwa Mzigo lazima uzae mtoto MZIGO!

Mzee Malecela ni Mzigo ila Lemutuz ni MZIGO zaidi.Huu ndio mwisho wa Ccm baada ya Chadema kuvuka salama kwa Wasaliti sasa ni zamu ya Ccm kwa Mafisadi na mizigo je watavuka salama?

James .L.Laiser mgombea wako Lowassa na mmasai mwenzako hivi anaweza kuongea hata kwa dakika mbili akikemea rushwa na ufisadi?
 
Haya sasa chama cha mapaka na mapanya,mabajaji na makatapila chama la mahafidhina at work chochea. Chochea chochea kuni haraka sana we akonda sijui madereva hebu mjibu huyu anadhani umesalenda hah. Hah...hah...chocheaaaaaaa
 
Ben tuheshimiane, ukianza nitamaliza! Jadili kilichopo hapa. Nimeshatoa hadi nyaraka za kina Wangwe, Mbowe, Zitto, na nyingine nyingi; seuze huu uliotolewa na Mgeja? Nina simu za wote, na wote wanaweza kunipa soft copy. Hiyo ndiyo kazi ya mwanahabari hata kama kwako naonekana uchwara. Namba ya Mgeja ni 0754 399353, muombe akupatie hili tamko kama nilivyofanya mimi!

Wacha Matisho wewe! Wenzako wamewahi kutishiwa kwa Bunduki wala hawajashtuka sembuse wewe unatoa vitisho vya maneno??

Jibu hoja wacha viroja! Ben saa nane anaulixa kuwa km Mgeja anawatuhumu wenzake kwa kutofuata taratibu za Chama,,yeye leo alichokifanya ndio utaratibu wa chama au kafuata mkumbo ule ule?
 
"Mgeja namfananisha kama mbwa aliyetoroka kwa bwana wake usiku kwenda kupandwa kurudi akakuta geti limefungwa"
 
we mfuwa chupi za joyce mukya tulia dawa ikuingie

tunafahamu kwamba elimu yako ni duni sana , lakini labda kwa faida yako tu ni kwamba HOJA NZITO KAMA HIZO hazijibiwi kwa MATUSI YA KISHAMBA KAMA HAYO ! Umejidhalilisha sana .
 
we mfuwa chupi za joyce mukya tulia dawa ikuingie
Hivi kwanini huwa hamjadili hoja mnakimbilia kashfa na matusi? Si lazima uchangie kama huna hoja sana sana utakuwa unajidhalilisha mwenyewe. Wewe toa maoni au mcha ngo wako kuhusu hoja na sio kukashifu wachangiaji. Nikukumbushe tu kuwa Ni bora unyamaze kimya watu wadhani wewe ni mjinga kuliko uongee halafu uthibitishe kuwa wewe ni mjinga. Mkuu ukiona umeanza kutoa kshfa na kutukana ujue kuwa huna hoja sasa kwakuwa unalazimisha unajikuta unatukana au kukashifu kitu ambacho si ustaarabu
 
by Manyerere Jackton;
Ben tuheshimiane, ukianza nitamaliza! Jadili kilichopo hapa. Nimeshatoa hadi nyaraka za kina Wangwe, Mbowe, Zitto, na nyingine nyingi; seuze huu uliotolewa na Mgeja? Nina simu za wote, na wote wanaweza kunipa soft copy. Hiyo ndiyo kazi ya mwanahabari hata kama kwako naonekana uchwara. Namba ya Mgeja ni 0754 399353, muombe akupatie hili tamko kama nilivyofanya mimi!

Povu la nn wewe mwananjaa?

Unamtisha nani sasa hapa?

Njaa zitakuua ww?
 
mzee wangu? malecela usikubali hili jambi liishe hivihivi tu nakuomba ita waandishi wa habari mjibu mgeja usikubali kushindwa na wewe makonda ita press utadharaulika bure jibu ili ubarance mambo ukikaa kimya utadharaulika.
 
Back
Top Bottom