TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

Habari za asubui wanajamvi?!

Mimi ni mhanga wa uhamisho baada ya Serikali kusitisha uhamisho nilikuwa kwenye proceess za mwisho kabla ya uhamisho kufungwa.Hivyo sikubahatika kuhama kwani Tamisemi walidai wanaboresha uhamisho na soon ungelifunguliwa. Lakini cha kushangaza mpaka leo hakuna kuhama kwa mfanyakazi yeyote.

Kasumba iliojikita ni kwamba mtumishi anatakiwa kulipa 700000 mpaka 1000000 ili aweze kuhama na hazipiti wiki mbili unakuwa umehamia kwenye kituo chako.

Anachofanya mfanyakazi anayehama nikuandika barua ya geresha ya kuomba kuhama ambayo iyo barua huishia halmashauri ya mwalimu alioajiriwa kama ushahidi geresha na wapo wengine huwa hawaandiki kabisa lakini haipiti wiki 2 wanakuwa wamehamishwa.

Nina wajua wanaofanya mchezo huuu wakuwatoza watumishi pesa na kuwaamisha katika wiki zisizopungua 2.

Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Hivyo tunaiomba Tamisemi kuwa makini hasa wale waliopo kwenye vitengo uchapaji wa barua za uhamisho majina yao ninayo.

Lakini kama ni mfumo rasmi basi uratibiwe vyema ili serikali ijipatie mapato kuliko kuishia kwenye mifuko ya watu
 
Weka Namba na jina la aliekupiga hiyo hela kisha utaleta mrejesho yupo wapi baada ya wiki mbili. Kama unataka kupiga vita mambo hayo toa ushirikiano
Wewe hayo unayosema hayawezekani, serikali hii ipo kuwakomoa watumishi
 
Habari za asubui wanajamvi?!

Mimi ni mhanga wa uhamisho baada ya Serikali kusitisha uhamisho nilikuwa kwenye proceess za mwisho kabla ya uhamisho kufungwa.Hivyo sikubahatika kuhama kwani Tamisemi walidai wanaboresha uhamisho na soon ungelifunguliwa. Lakini cha kushangaza mpaka leo hakuna kuhama kwa mfanyakazi yeyote.

Kasumba iliojikita ni kwamba mtumishi anatakiwa kulipa 700000 mpaka 1000000 ili aweze kuhama na hazipiti wiki mbili unakuwa umehamia kwenye kituo chako.

Anachofanya mfanyakazi anayehama nikuandika barua ya geresha ya kuomba kuhama ambayo iyo barua huishia halmashauri ya mwalimu alioajiriwa kama ushahidi geresha na wapo wengine huwa hawaandiki kabisa lakini haipiti wiki 2 wanakuwa wamehamishwa.

Nina wajua wanaofanya mchezo huuu wakuwatoza watumishi pesa na kuwaamisha katika wiki zisizopungua 2.

Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Hivyo tunaiomba Tamisemi kuwa makini hasa wale waliopo kwenye vitengo uchapaji wa barua za uhamisho majina yao ninayo.

Lakini kama ni mfumo rasmi basi uratibiwe vyema ili serikali ijipatie mapato kuliko kuishia kwenye mifuko ya watu wa chache
Na wewe una matatizo ulitoa 900,000=/ za nini? Inabidi uisaidie polisi kwani mtoa na mpokea rushwa wote ni wahalifu. Hivi ungefanikiwa ungeleta uzii huu? Mkishalizwa kwa kujitakia ndio mnaleta hadharani. Malizaneni wenyewe kimya kimya uliyempa hela si una mfahamu? Uzuri wewe mwenyewe umeshasema ni vishoka
 
Hata wewe kuandika ni kizungumkuti,"haujuwi".Ulitakiwa uandike "haujui".

Ni sawa na nyani kucheka "kundule" la wenzake kwa sababu haoni la kwake.Wenzake pia wanacheka "kundule lake".

Mkuu punguza fikra zako za" kikundule kikundule".

kamuombe radhi mwalimu wako wa Kiswahili.
 
Njoo Haraka Ututajie Eneo Lililooza Tuondoe Tatizo
Hata Ikiwezekana Taja Halmashauri
 
Huo ni udhaifu wa nyie nyie waalimu kupenda shortcut
unaanzaje kutoa laki 700,000 mi hata buku sikupi
na hizo pesa mnampa nani halmasauri au Tamisemi
hao watu si mnawajua watajeni wachukuliwa hatua lah si hivyo mtakua ni watu wa kupigwa kila leo
poleni lakin
 
Kwanza nikupe pole sana mtumishi mwenzangu nayajua machungu uliyonayo mpaka saiz ,hata mm ni mhanga Wa uhamisho yaan nishapambana sana lakini wapi ,nishapigwa kama laki mbili na elfu sitini ,tokea hapo nipo makini sana na hawa watu hasa wanaojifanya wanaweza kukusaidia kuhama,majuzi kati tu kuna MTU aliniambia nimpe laki tano ndani ya miezi mitatu ntahama ila roho yangu imekuwa ngumu sana kutoa pesa now nimeamua acha nikae tu huku huku niliko kama siku mungu ataamua nihame basi ntahama kiroho saf saiz acha nikubaliane na hali au kama ntachoka sana nitakabidhi check no.yao nikafanye yangu .so kuwa makini na makinika na uwe mjanja haya mambo ya uhamisho yapo ila hadi uwe na MTU Wa uhakika na unayemjua achana na vishoka mtalia sana
Habari za asubui wanajamvi?!

Mimi ni mhanga wa uhamisho baada ya Serikali kusitisha uhamisho nilikuwa kwenye proceess za mwisho kabla ya uhamisho kufungwa.Hivyo sikubahatika kuhama kwani Tamisemi walidai wanaboresha uhamisho na soon ungelifunguliwa. Lakini cha kushangaza mpaka leo hakuna kuhama kwa mfanyakazi yeyote.

Kasumba iliojikita ni kwamba mtumishi anatakiwa kulipa 700000 mpaka 1000000 ili aweze kuhama na hazipiti wiki mbili unakuwa umehamia kwenye kituo chako.

Anachofanya mfanyakazi anayehama nikuandika barua ya geresha ya kuomba kuhama ambayo iyo barua huishia halmashauri ya mwalimu alioajiriwa kama ushahidi geresha na wapo wengine huwa hawaandiki kabisa lakini haipiti wiki 2 wanakuwa wamehamishwa.

Nina wajua wanaofanya mchezo huuu wakuwatoza watumishi pesa na kuwaamisha katika wiki zisizopungua 2.

Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Hivyo tunaiomba Tamisemi kuwa makini hasa wale waliopo kwenye vitengo uchapaji wa barua za uhamisho majina yao ninayo.

Lakini kama ni mfumo rasmi basi uratibiwe vyema ili serikali ijipatie mapato kuliko kuishia kwenye mifuko ya watu wa chache
 
dawa ni kutaja halmashauri,afisa elimu na huyo anaye pokea hayo mahela na namba zake za simu kama zipo siku mbili tu jipu litatumbuka msiwalee waovu
ma bosi zao huwa wanapita pita hata huku wanaweza wakawasaidia katika hilo
 
Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Mtumishi anapokuwa anaomba uhamisho anakuwa 'desperate' sana hasa kama haja yake ni ya muhimu..ninaelewa. Hivyo kudanganyika kirahisi. POLE


Ila, usingepigwa 900k je, ungekuja hapa kulalamika?

Ni kweli kuzuia uhamisho kwa watumishi ni kosa kubwa sana na linatakiwa lishughulikiwe lakini usiwe proponent wa rushwa inapobidi hivyo. As long as hitaji lako si suala la kifo na maisha...achana na rushwa!
 
Huo ni udhaifu wa nyie nyie waalimu kupenda shortcut
unaanzaje kutoa laki 700,000 mi hata buku sikupi
na hizo pesa mnampa nani halmasauri au Tamisemi
hao watu si mnawajua watajeni wachukuliwa hatua lah si hivyo mtakua ni watu wa kupigwa kila leo
poleni lakin
Mimi nimeshapigwa lakini wapo vijana wengi wanaohitaji utajiri wa haraka kijana afanye kazi mwaka 1 apate nyumba gari hao ndio hatari kwa usalama wa nchi yetu. Hawa ni wfanyakazi wa tamisemi ambao hutafuta vishoka kuwatafutia watu wanaohama na ni mchezo umeshazoeleleka tamisemi uhamisho umezuiwa lakini watu wanahama kwa kulipia nina jamaaa zangu wanaosubiria barua nadhani zitafika kuanzia leo mpaka ijumaaaa.Swali serikali ilizuia uhamisho kwa ajili ya kuwatafutia watu ridhiki?!
 
dawa ni kutaja halmashauri,afisa elimu na huyo anaye pokea hayo mahela na namba zake za simu kama zipo siku mbili tu jipu litatumbuka msiwalee waovu
ma bosi zao huwa wanapita pita hata huku wanaweza wakawasaidia katika hilo
Halmashauri huwa hawahusiki na hizi mambo
 
Hata nyuki ni mkali lakini watu wanakula asali take kiulaini. Hizo sheria zinawahusu ninyi lakini wenye nyumba wanahama hadi safari za nje za kumwaga tu
 
Back
Top Bottom