Habari wadau. Watumishi tuliohama mwaka Jana mwezi wa kumi na kupata vibali hatujahamishiwa taarifa zetu za mshahara mpaka Leo, Hali ambayo imepelekea kushindwa kuingia katika mfumo wa upimaji wa utendaji kazi wq PEPMIS.
Tamisemi waliondoa access ya halmashauri kuhamisha mshahara jukumu wamejipa wao la kuhamisha mshahara ila mpaka Leo hawajahamisha mshahara hata wa mtumishi mmoja. Wahusika tunaomba mutusaidie
Tamisemi waliondoa access ya halmashauri kuhamisha mshahara jukumu wamejipa wao la kuhamisha mshahara ila mpaka Leo hawajahamisha mshahara hata wa mtumishi mmoja. Wahusika tunaomba mutusaidie