nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
katika kuonyesha hali ya kujipendekeza kupita kiasi au kutojua mambo,tambwe hiza jana usiku katika kipindi cha kurunzi ya mlimani aliropoka eti kikwete ni bora kuliko nyerere eti kwa sababu tu ya serikali ya mseto ya zanzibar iliyompa seif hamad umakamu wa kwanza wa rais,..na kuhusu dowans,tambwe alisema jk ana uvumilivu sababu angekuwa kiongozi mwingine angekuwa kashainnua mitambo ya dowans....