Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kwa timu hii ambayo siasa imejikita ndani huku uswahili ushachanua ni vigumu kuifunga Algeria!!
Binafsi namuona kocha kawa mswahili,tff wamekuwa wanasiasa na serikali ipo ICU ikisubiri kujifungua kwa operation,
hakuna maandalizi yanayoashiria kuwa kunapambano la kimataifa!
Mchezaji mwenye sifa na kiwango cha kimataifa eti kocha anasema aende timu ya watoto ili akamuone?
Wakati kagame Haruna Moshi alicheza tena kwa ufanisi mkubwa! Ina maana wachezaji aliowakuta wakati anakabidhiwa
timu aliwaona wapi viwango vya kabla ya kuwapokea?
Hii ni dharau kubwa, kocha na tff
wanatakiwa wamuombe radhi Boban tena kupitia vyombo vya habari!!
Sina nia ya kumtetea Bobani lakini nimesikitika jibu la kocha alipoulizwa kwanini hajamuita Bobani?
alijibu, "Tatizo Bobabi hamalizi dk90 uwanjani hiyo ndiyo sababu"
Hivi kweli hili ni jibu la kocha la mwanasiasa au la mswahili?
Nirudie tena kusema sio kukosekana kwa Boban ndiyo kushindwa kwa Stars bali mfumo wa uendeshaji wa sasa wa timu hii!!
Mimi nasema stars hii ikiifunga Algeria mimi nabadili uraia ili nirudi kwenye asili
yangu ya Tanganyika!!
Binafsi namuona kocha kawa mswahili,tff wamekuwa wanasiasa na serikali ipo ICU ikisubiri kujifungua kwa operation,
hakuna maandalizi yanayoashiria kuwa kunapambano la kimataifa!
Mchezaji mwenye sifa na kiwango cha kimataifa eti kocha anasema aende timu ya watoto ili akamuone?
Wakati kagame Haruna Moshi alicheza tena kwa ufanisi mkubwa! Ina maana wachezaji aliowakuta wakati anakabidhiwa
timu aliwaona wapi viwango vya kabla ya kuwapokea?
Hii ni dharau kubwa, kocha na tff
wanatakiwa wamuombe radhi Boban tena kupitia vyombo vya habari!!
Sina nia ya kumtetea Bobani lakini nimesikitika jibu la kocha alipoulizwa kwanini hajamuita Bobani?
alijibu, "Tatizo Bobabi hamalizi dk90 uwanjani hiyo ndiyo sababu"
Hivi kweli hili ni jibu la kocha la mwanasiasa au la mswahili?
Nirudie tena kusema sio kukosekana kwa Boban ndiyo kushindwa kwa Stars bali mfumo wa uendeshaji wa sasa wa timu hii!!
Mimi nasema stars hii ikiifunga Algeria mimi nabadili uraia ili nirudi kwenye asili
yangu ya Tanganyika!!