Taifa lijenge mikakati ya heshima na ianze na wakubwa kuheshimu na kusema ukweli

Mkwawa

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,334
1,464
Kitendo cha Raisi Mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi BMW kusema uongo mbele ya jamii ya watanzania haimshushi yeye tu heshima bali inadhalilisha cheo kizima cha uraisi na utu uzima alio nao. Maraisi waliostaafu kwenye nchi nyingi duniani huwa ni walezi wa Taifa husika, hujiepusha na uzushi na uongo na kuegemea kwenye hekima na kujenga taifa moja lenye utu na mshikamano wa kitaifa.

Wasi wasi unaoonyeshwa na familia ya Nyerere ya kifo cha baba yao inatia wasi wasi kama kweli maradhi aliyokuwa nayo Nyerere ndio yaliyompeleka kwenye haki au walimuwahisha kwa tamaa ya mali na utukufu wa hapa duniani.

Ila yote haya ni mwanzo wa taifa huru na la wakweli, tunakwenda kuwajibika kwa maneno yetu na matendo yetu. Na laani kwa viongozi wote wa kitaifa kutumia lugha za uongo, udhalilishaji na maudhi ili tu kusaidia mtu kwenda dodoma. Dodoma sio sehemu ya kupeleaka kila mtu inabidi kama taifa tujue nini tunataka. Mkapa ametia aibu na anapaswa kujua hilo.
 
Kitendo cha Raisi Mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi BMW kusema uongo mbele ya jamii ya watanzania haimshushi yeye tu heshima bali inadhalilisha cheo kizima cha uraisi na utu uzima alio nao. Maraisi waliostaafu kwenye nchi nyingi duniani huwa ni walezi wa Taifa husika, hujiepusha na uzushi na uongo na kuegemea kwenye hekima na kujenga taifa moja lenye utu na mshikamano wa kitaifa.

Wasi wasi unaoonyeshwa na familia ya Nyerere ya kifo cha baba yao inatia wasi wasi kama kweli maradhi aliyokuwa nayo Nyerere ndio yaliyompeleka kwenye haki au walimuwahisha kwa tamaa ya mali na utukufu wa hapa duniani.

Ila yote haya ni mwanzo wa taifa huru na la wakweli, tunakwenda kuwajibika kwa maneno yetu na matendo yetu. Na laani kwa viongozi wote wa kitaifa kutumia lugha za uongo, udhalilishaji na maudhi ili tu kusaidia mtu kwenda dodoma. Dodoma sio sehemu ya kupeleaka kila mtu inabidi kama taifa tujue nini tunataka. Mkapa ametia aibu na anapaswa kujua hilo.
BABA wa Taifa na "APUMZIKE MAHALI PEMA PEPONI" Viecent mwenyewe alitakiwa amshambulie Mkapa kama aliona kuna haja ya kujibu tuhuma alizoshushiwa bila kuhusisha kifo cha baba wa Taifa. Nafikiri familia imemsafisha kuwa ni mmoja wa wanafamilia, lakini mpaka sasa taifa halijasikia kupitia chombo chochote cha habari familia ikiunga mkono kauli ya VICENT kwamba Mwalimu aliuawa. Ni dhahiri Vicent alipotoka kutumia kifo cha baba wa taifa kujibu tuhuma alizoshushiwa na Rais Msaafu. Basi pale ambapo wakubwa zetu wataonekana wameteleza ni lazima tutafute njia sahihi za kuwalalamikia badala ya kuendeleza uongo huohuo na mbaya zaidi kupitia Marehemu, Wapendwa wetu.
Lakini pia tujikumbushe haya majina ya Marehemu baba wa Taifa "JULIUS KAMBARAGE NYERERE. Tunaona wazi kwamba NYERERRE ni jina la UKOO (SIR NAME). Nakumbuka Mkapa alisema Vicent si mmoja wa familia ya MWALIMU na si familia ya NYERERE, jambo ambalo ni kweli. VICENT yuko katika ukoo wa NYERERE na siyo familia ya Mwalimu. Familia ya MWALIMU inaundwa na na watoto wake wa kuzaa pekeee na si vinginevyo na ndiyo tunavyojua katika mila zetu. huwezi kusema mtu wa ukoo wako ni familia yako hata siku moja.


Hayo yameshapita, narudia TUMUACHE MAREHEMU BABA WA TAIFA LETU apumzike kwa amani.
 
Hayajapita sasa kama alimuua mzee ulitaka asimwam bie.mkapa mwenyewe ndo hana adabu bhata kidogo,ni muuaji
 
Back
Top Bottom