Taifa kwanza: Rais na mawaziri 2015

Kinachoonekana hapa ni kupiga chapuo. Ngoja tuwe wakweli bila kumun'unya maneno, hakuna mtu aliye ccm leo anayefaa kuwa Raisi wala waziri tena baada ya 2015. Tunahitaji kubadili mwelekeo kama ccm walikuwa wanatupeleka magaharibi basi tunahitaji Raisi na mawaziri watakao sema nyuma geuka mbele tembea yaani kuelekea mashariki. Mpaka sasa wapinzani ndiyo angalau wanaonekana wanaweza kufanya hili, tumeshudia bungeni, tumeona dhamira zao kwa vitendo hivyo ni bora ku risk kuwapa nchi wapinzani kuliko kuendelea kwenda shimoni na haya magamba period

- Sio viongozi wote wa CDM au CCM wanaofaa, ndio maana tunaenda na majina badala ya vyama, pia tukijali sana kwamba huenda by 2015 tukawa na wagombea binafsi!

Willie @ NYC, USA.
 
- Mh. Zitto Kabwe: ni Waziri wa Uchumi na Mipango au Spika wa bunge, anafaa ni msomi, mtendaji, mfuatiliaji na ni mkali sana!

By the way naona kuna a lot of distractions, lakini tunaendelea kusimamia hoja hatuendi nje ya hoja siku zote ndio msimamo wetu, so!


Willie @ NYC, USA.
 
- Tunaaangalia viongozi sio vyama vyao, sio CDM yote ni Wachagga na sio CCM yote ina wezi, ni common sense tu kidogo!

Willie @ NYC, USA.

Common sense? mbona mmeshindwa kuondoa hao wezi? Taja mmoja aliyeweza kusimamia wizi ukaisha.
Nadhani unajua methali ya 'samaki mmoja akioza...'
Hatuwezi kuachia nchi yetu iwe mikononi mwa ccm tena!
Alafu usitudanganye hapa kuwa tunachagua mtu badala ya chama.
 
- Mh. Tundu Lissu: ni Waziri wa Utawala Bora au Mwanasheria Mkuu: msomi, mtendaji, mfuatiliaji na ni mkali sana!

Willie @ NYC, USA.
 
Common sense? mbona mmeshindwa kuondoa hao wezi? Taja mmoja aliyeweza kusimamia wizi ukaisha.
Nadhani unajua methali ya 'samaki mmoja akioza...'
Hatuwezi kuachia nchi yetu iwe mikononi mwa ccm tena!
Alafu usitudanganye hapa kuwa tunachagua mtu badala ya chama.

- Unasema Mwenyekiti akiwa Mchagga iina maana wote ni Wachagga? Is that right?, kwenye hii thread tunachagua kiongozi sio chama, unawza kunaisha thread ya chama kwanza, hapa ni taifa kwanza, karibu sana mkuu!

Willie @ NYC, USA.
 
- Mh. Zitto Kabwe: ni Waziri wa Uchumi na Mipango au Spika wa bunge, anafaa ni msomi, mtendaji, mfuatiliaji na ni mkali sana!

By the way naona kuna a lot of distractions, lakini tunaendelea kusimamia hoja hatuendi nje ya hoja siku zote ndio msimamo wetu, so!


Willie @ NYC, USA.

- Tunaaangalia viongozi sio vyama vyao, sio CDM yote ni Wachagga na sio CCM yote ina wezi, ni common sense tu kidogo!

Willie @ NYC, USA.
Mkuu umejikakamua kumtaja Zito ili ubalance (ingawa msimamo wa Zitto huwa questionable mara nyingine, labda ndio sababu umemtaja), na uonekane huangalii vyama, ur a great thinker. Anyway CCM anaweza akatoka mgombea lakini hataweza kuwa rais bora kama atagombea kupitia CCM, chama kitamtia speed governor. Sitta angeweza kufaa lakini kupitia CCJ na si CCM.
 
Mkuu umejikakamua kumtaja Zito ili ubalance (ingawa msimamo wa Zitto huwa questionable mara nyingine, labda ndio sababu umemtaja), na uonekane huangalii vyama, ur a great thinker. Anyway CCM anaweza akatoka mgombea lakini hataweza kuwa rais bora kama atagombea kupitia CCM, chama kitamtia speed governor. Sitta angeweza kufaa lakini kupitia CCJ na si CCM.

- Nimesema uwezekano ni mkubwa sana 2015 tukawa na wagombea binafsi!, ndio maana siko big sana na vyama!

Willie @ NYC, USA.
 
- Salaam wananchi wenzangu,

kuelekea uchaguzi wa 2015 ni muhimu sana wananchi tukaanza sasa kujadili wanaotufaa kwenye nafasi za uongozi wa juu yaani Rais na Mawaziri, na sababu; wasiotufaa pia tuwaambie kwa lugha ya Black and White yaani the truth bila kuchanganya maneno! na tujali Taifa kwanza vyama baadaye!

- Tanzania sio taifa la mtu mmoja au kikundi flani tu na tuanze kuambiana ukweli kuanzia sasa mapema sana ili maviongozi magoi goi waanze kujifikiria mapema kama wapo kwenye the right field au wajiondoe wenyewe, maana ninakatishwa tamaa sana na
baadhi ya majina ya wanaotajwa kujipanga kuchukua fomu hasa za Urais 2015!

- Nani wanafaa na nani hawafai na sababu?

- Mungu Aibariki Tanzania!


William @ NYC, USA.

Unafiki ndio unaanzia hapo...kwanini usiwataje kwanza wewe na sababu zake??wenzako wakitaja unaanza maswali yasiyo na msingi, kwani we unataka wakuconvice/ wakushawishi kwani we ni nani katika nji hii??acha zako bana!!

Dk Slaa anafaa kuchukua nji hii...katoa tongotongo nyingi sana vichwani humu!!
 
- Ushauri wangu siku zote ni kwamba Dr. Kitila na Mkulu wangu Mwanakijiji wapewe nafasi huko ya kujitayarisha kushika nafasi kubwa mbele ya safari, lakini kwa sasa level ya Uwaziri Zitto, Lissu, wanafaa sana isipokuwa ninatatizwa sana na Urais kwa waliopo sasa huko CDM na ni mawazo yangu tu!, sio lazima yawe sahihi, lakini ninatatizwa sana na kwenye Urais! - I mean CDM hamjafanya collective serious thinking ya kumtayarisha Rais wa 2015 na sitaki kuamini kwamba mnategemea mabaki kutoka CCM, mkuu hili linanitatiza sana!, kwa sababu kwa walipo sasa CDM, CCM itashinda Urais bila tatizo sana!Willie @ NYC, USA.
Hizo ni ndoto za mtu aliyeko amerika, ungekuwa kwenu usingepata hata usingizi wa kuota ndoto hizi.kama ccm itashinda tena basi watanzania wote tumelogwa na aliyetuloga labda ni shehe yahaya ambaye ameshakufa! Lakini wengi tunaye Mungu ambaye ni zaidi ya mchawi wa magamba atatuokoa na hili 2015.
 
- Unasema Mwenyekiti akiwa Mchagga iina maana wote ni Wachagga? Is that right?, kwenye hii thread tunachagua kiongozi sio chama, unawza kunaisha thread ya chama kwanza, hapa ni taifa kwanza, karibu sana mkuu!

Willie @ NYC, USA.

hehhehe! kweli tuna kazi! Mko na propaganda za Chadema kuwa ya Wachagga sio? I guess kuwa Chadema nayo ni ya Wachagga. Kwani kuna shida gani ya kuwa chama cha wachagga? Mara mia wachagga kuliko wezi.
Thread inaongelea viongozi, lakini kiongozi anatoka kwenye chama. Hivyo chama ndio kitatawala. Kama ulikuwa hujui hilo, jifunze leo kabla hujadanganya watu.
 
Msidhani kuwa hamna watu wanaofaa kuwa viongozi wetu nje ya hawa wanasiasa waliopo hivi sasa wengi hawa wa sasa ni vilaza tu!

Mi nashauri Mwanakijiji pia aje agombee ubunge sasa ili aingie uwanjani kucheza sita au nane tuone michango yake live Bungeni akiwa PM

List yangu mimi ni hii hapa:
  1. Rais: Dr.Slaa
  2. PM: Mwanakijiji
  3. Spika: Marando
  4. Sheria na Katiba: Lissu
  5. Serikali za Mitaa ofisi ya PM: Mbunge wa Ubungo
  6. Mambo ya nje: Zitto Kabwe Naibu Arafat
  7. Ujenzi Uchukuzi: Magufuri
  8. Fedha na Uchumi: Tuta tangaza watu walete CV zao ilitupate mtu ambaye atapewa terms za kufanyia kazi kunyanyuwa Uchumi local na forex experts
  9. Kilimo na Umwagiliaji: Pinda Naibu bado hajaonekana
  10. Maji na mazingira ofisi ya Waziri Mkuu: tuta tangaza kuchambuwa CV ndani Local experts
  11. Futa wizara ya jinsia na watoto shughuli zake ziamie Elimu
  12. Elimu tutangaze pia Local experts;
  13. Mambo ya ndani: Mbowe Naibu Mchungaji Peter wa Iringa
  14. Ulinzi na JWTZ nadhani waunganishwe na Mambo ya ndani... Discuss!
Kwasasa wabunge wengi tuliona nao hawafai kuwa viongozi serikali na hasa CDM inamkosi huo wengi wa Wabunge wake wanafaa kuwa wabunge tu lakini hawawezi kuongoza wizara hata kidogo.

Sitegemei kama kuna mtu anafikiria Mbunge wa Mbeya mjini, Musoma, Arusha, Viti maalum, na type hiyo kuwa Mawaziri?!
 
huyo ana kazi kubwa ya kujivua gamba kwa waislamu; na genge lililomzunguka la akina mbowe na lema, du kazi ipo!

sasa udini umetoka wapi hapa mkuu! Slaa aliingia msikitini kufanya fujo au? hizi siasa za kina malaria sugu kweli sio nzuri, hazijengi hata kidogo. mods wawe makini sana na hizi post za uchonganishi.
 
Acha ubabaishaji Willie.Kama unaye mtu si umweke hapa tumjadili!
- Sema nani anafaa au hafai kua Rais au Waziri, kama huwezi kaa pembeni achia wanaoweza mimi sigombei urais wala anything, uwe na siku njema sana mkuu!

Willie @ NYC, USA.
 
Msidhani kuwa hamna watu wanaofaa kuwa viongozi wetu nje ya hawa wanasiasa waliopo hivi sasa wengi hawa wa sasa ni vilaza tu!

Mi nashauri Mwanakijiji pia aje agombee ubunge sasa ili aingie uwanjani kucheza sita au nane tuone michango yake live Bungeni akiwa PM

List yangu mimi ni hii hapa:

  1. Rais: Dr.Slaa....................................................................................V
  2. PM: Mwanakijiji................................................................................awe wa elimu na badala yake awe Mbowe.
  3. Spika: Marando................................................................................au mdee
  4. Sheria na Katiba: Lissu.....................................................................ateuliwe kuwa jaji ili apewe ujaji mkuu.
  5. Serikali za Mitaa ofisi ya PM: Mbunge wa Ubungo............................V
  6. Mambo ya nje: Zitto Kabwe Naibu Arafat...........................................WENJE
  7. Ujenzi Uchukuzi: Magufuri.................................................................mpendazoe
  8. Fedha na Uchumi: ............................................................................zitto kabwe
  9. Kilimo na Umwagiliaji: Pinda Naibu bado hajaonekana...........................atatoa chozi mbele ya wakulima hapa ni LEMA
  10. Maji na mazingira ofisi ya Waziri Mkuu: tuta tangaza kuchambuwa CV ndani Local experts
  11. Futa wizara ya jinsia na watoto shughuli zake ziamie Elimu........................regia mtema
  12. Elimu tutangaze pia Local experts;
  13. Mambo ya ndani: Mbowe Naibu Mchungaji Peter wa Iringa
  14. Ulinzi na JWTZ nadhani waunganishwe na Mambo ya ndani... Discuss!
!



endeleza.
 
huyo ana kazi kubwa ya kujivua gamba kwa waislamu; na genge lililomzunguka la akina mbowe na lema, du kazi ipo!
Naona una mshipa wa udini! Pole maana hutabadilisha mpango wa Mungu hata kama ungeendakuzimu kutambikia, it will stand. Dr. Slaa is in the hearts of many tanzanian now and there is no doubt about this. The good thing about this is that you can't enter people's heart to remove it. God has seen our sufferings and he want to take us out of this mess!Mungu ibarika Tanzania na watu wake wema!
 
Back
Top Bottom