Tahadhari: Veronica Anthony na Anthony Wilium Lwitiko; Matapeli wakubwa katika Forex

Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only.

Makundi hayo ni kama tajirika na forex,forex investors nk.

Vinara wa wizi huu ni Dada mmoja anaejulikana kwa jina la veronica Anthony. .na kijana mmoja ambae anajitambulisha kama mdogo wake veronica.Anthony wiliam lwitiko.huyu kwa uchunguzi ni mwanafunzi wa UDOM yupo pale natural mathematics and science. Mpaka sasa wameshawaliza watu zaidi ya tsh mil 300 na bado wanaendeleza utapeli huo.

Ndugu zangu kuweni makini na link mbalimbali zinazokuambia jiunge group fulani uanze na mtaji mdogo wa 20000 tu eti utajipatia mpaka 25ml kwa muda mfupi.uongo uliokithiri huo....

Nimeona tushirikishane maana hawa jamaa mpaka sasa ni wanted lkn bado wanaendeleza utapeli huo kila kona.
wajinga na wenye tamaa ni shamba la wajanja
 
Jambo zuri kuhusu hawa watu mpaka sasa shauri Leo limefunguliwa huko mbeya..na jambo zuri zaidi afande sirro ameshapata taarifa baada ya kupigiwa simu jana usiku na ametoa ushirikiano mzuri mpaka sasa.
Kupitia ocd wa mbeya tayari vipo vielelezo vinavyowahusu watuhumiwa.tuendelee kuvuta subira mwisho wao unahesabika
 
01943f3465cac27c51380cce46416697.jpg
f33aa640bfa38122c186f65351a9cc36.jpg
92c23909ab6a23f7aeb51325a226d3cb.jpg


Maelezo ya veronica anthoni na picha ya anthoni wiliam lwitiko.
dd6302fd812807395ba63582c6697ec2.jpg
 
Bahati mbaya unanichukulia juu juu..WaPo watu unakuta mtu mmoja ameinvest more than 3mil.Ana groups 3 na zote zina member 180+
Kuna kuinvest sasa hapo?? Hapo sema tu kaweka hela. Investment huna hata document au property utasema umeinvest kweli?
 
Kuna kuinvest sasa hapo?? Hapo sema tu kaweka hela. Investment huna hata document au property utasema umeinvest kweli?
Yeas tuseme ni kuweka hela tu..hawa watu wamekusanya pesa kuanzia tarehe 30/9-9/10 hawajalipa na hawaonekani tena ktk group walizofungua whatsap.
 
WAJINGA NDIO WALIWAO


* nitakula pesa ninayoitafuta kwa akili zangu SIO akili ya kidume mwingine tena yupo nyuma ya keyboards*.

......heeeeeee...,. Huo Uzi wenu sijawahi hata kuusoma ,,nausikia tuuuu Forex Mara Bitcoin zinauzwa !! Teheeeee.
Mkuu,
Ontario akikusikia atakushtaki kuwa makini una muharibia biashara yake.
 
yani kwa hali ya sasa, kuna mtu atakuambia umpatie hela bila ya kumfahamu!
 
Mkuu unajua unachokisema kuhusu ONTARIO? Unamfahamu vizuri? Usichafue majina ya watu kwa kitu usichokijua.
Huyo Ontanario wa ukweli mtapataje mawasiliano nae kama unayo mtumie 0713721317
 
Back
Top Bottom