wajinga na wenye tamaa ni shamba la wajanjaKumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only.
Makundi hayo ni kama tajirika na forex,forex investors nk.
Vinara wa wizi huu ni Dada mmoja anaejulikana kwa jina la veronica Anthony. .na kijana mmoja ambae anajitambulisha kama mdogo wake veronica.Anthony wiliam lwitiko.huyu kwa uchunguzi ni mwanafunzi wa UDOM yupo pale natural mathematics and science. Mpaka sasa wameshawaliza watu zaidi ya tsh mil 300 na bado wanaendeleza utapeli huo.
Ndugu zangu kuweni makini na link mbalimbali zinazokuambia jiunge group fulani uanze na mtaji mdogo wa 20000 tu eti utajipatia mpaka 25ml kwa muda mfupi.uongo uliokithiri huo....
Nimeona tushirikishane maana hawa jamaa mpaka sasa ni wanted lkn bado wanaendeleza utapeli huo kila kona.
Hata mm nimestuka sana kana kwamba milion imekua mia tatu nasi milioni tenaUliposema wamekusanya Milioni 300 baasi nimedharau habari yako yote.
Hamuelewi huu mchezo ulivyo thus yHata mm nimestuka sana kana kwamba milion imekua mia tatu nasi milioni tena
Siku zote wajinga hawaishi labda bahari ikauke!wajinga ndio waliwao
Kuna kuinvest sasa hapo?? Hapo sema tu kaweka hela. Investment huna hata document au property utasema umeinvest kweli?Bahati mbaya unanichukulia juu juu..WaPo watu unakuta mtu mmoja ameinvest more than 3mil.Ana groups 3 na zote zina member 180+
Yeas tuseme ni kuweka hela tu..hawa watu wamekusanya pesa kuanzia tarehe 30/9-9/10 hawajalipa na hawaonekani tena ktk group walizofungua whatsap.Kuna kuinvest sasa hapo?? Hapo sema tu kaweka hela. Investment huna hata document au property utasema umeinvest kweli?
Mkuu,WAJINGA NDIO WALIWAO
* nitakula pesa ninayoitafuta kwa akili zangu SIO akili ya kidume mwingine tena yupo nyuma ya keyboards*.
......heeeeeee...,. Huo Uzi wenu sijawahi hata kuusoma ,,nausikia tuuuu Forex Mara Bitcoin zinauzwa !! Teheeeee.
Haya polepole mrejesho wa utaleli umishaanza tutasikia mengi.
..mkuu natengua kauli.Mkuu,
Ontario akikusikia atakushtaki kuwa makini una muharibia biashara yake.
Mkuu unajua unachokisema kuhusu ONTARIO? Unamfahamu vizuri? Usichafue majina ya watu kwa kitu usichokijua.Akina [B]ONTARIO[/B] kumbe wengi. Bora kuning'iniza mapoumbou (kutofanya kazi) kuliko kuwagawia wanaume wenzako hela
Huyo Ontanario wa ukweli mtapataje mawasiliano nae kama unayo mtumie 0713721317Mkuu unajua unachokisema kuhusu ONTARIO? Unamfahamu vizuri? Usichafue majina ya watu kwa kitu usichokijua.
umesahau na hawa kob wanaofanya shuhguli kupitia tv station nao ni kiboko piaKuna wengine wanajiita Tatupesa ni shida
kabisa yaani mtu anatapeliwa kijingaUsawa huu kuna watu wanapigwa kizembe namna hii???