Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,151
- 159,075
We haya tu.Haha na yenyewe itakusonya kabisa
We haya tu.Haha na yenyewe itakusonya kabisa
Ngoja ukome..! Kwanza u umpuuzi huwezi kugeneralize watu na kufanya mapenzi yafanane kwa watu wote, wewe na uzuzu wako tangu mwanzo kurukaruka unazaa kama mbwa hovyo, ukadhani kisa ana mtoto ndiyo umepata mengine yote pole ila kujisifia unamlipia karo yeye na mwanaye ndiyo ulete tambo hapa???
Hiyo karo si pesa ya miezi miwili kwake kama pango? Jiongeze unatendwa sababu unataka muwe sawa simply tuuh unachangia vijisent vyako..! Mwanaume bhana ata utoe kila kitu ndani lazima aheshimiwe.
Khaaa nimekushindwa kwa kweliHahahaaa!! Huo uvumilivu mfundishe Heaven Sent kwakweli. Mie HAPANA.
Hayo ni maelezo ya upande mmoja na mwanadamu( hasa hasa mwananke) hujua sana kutunga hadithi ili aonekane anaonewa lakini naamini asilimia kubwa akipatikana huyu mwingine na kuelezea upande wake habari ni nyingine. Kuna wanawake wanajua kutesa na kusimanga watoto ambao sii wao na mwanaume akirudi anafanya maigizo kujifanya anawapenda ajabu sasa kama baba ni mkali kwa watoto wako na unauamini upendo wa kinafiki anaokufanyia mke wako , watoto watateseka sana
Mmh hakusema 'nyumba yangu' jamani, mnamlisha maneno sasaHaha huo uvumilivu wa kunifanya nishindwe kujaza choo kwa amani, kila saa "nyumba yangu", me hapana kwa kweli.
Ulivyoongea kwa huruma sasaMmh hakusema 'nyumba yangu' jamani, mnamlisha maneno sasa
sijadhalilisha popote pale tena nashukuru nimeyaleta humu ninapata amani na kuwafunza wengineMimi nipo hapa tuu, nasoma jinsi huyu mtu alivyoamua kujidhalilisha mbele ya Wana JF. MWANAMKE HAWEZI KUWA SAWA NA MWANAMME.
Hao mimi naona, mwanamke anataka amwendeshe jamaa, jamaa anamdhibiti ndo chanzo cha mgogoro. MWANAMKE lazima atambue nafasi yake, ajue yeye ni Nani, halafu mwanamke anayepeleka maisha ya chumbani kwenye Mitandao, mmh! Naona waliowengi wanamsanifu Kwa maswali na bidada anafunguka tuu. HAPO MIMI NAONA JAMAA KAZI ANAYO.
Yaani kwamajibu yako inaonesha nijinsi gani unamalengo nahuyo jamaa sema2 jamaa anazingua. Hapo kwenye kukuomba k kibabe ndio sijapafurahia kabisa yaani nibora angekuwa anakutia bao hizo 3 ila akawa anakuomba kistarabu ikibidi hata kukubembeleza kabisa nainawezekana alipoachana namke wake alikuwa ananunua machangu doa nandiomana bado anaendelea kutumia kauli zakibabe
Sasa uwezo wako umeishia hapo nikusaidieje??hata sijaelewa ulichoandika...
akikujibu ni-tagHv hao viongoz wa dini mnaowasema nyie ni wapi hao?
Duu pole sana mdada. Sasa unavumilia nini?? Na unasema kabisa jamaa alioa na wakatengana kididzaini not official, huoni kama unapoteza muda kukaa na huyo mbaba? Je ikitokea warudiana na mkewe?? Huoni kama utakua umepoteza wakati? Bora mkewe angekua amekufa. Mm nakushauri usepe huyo sio mumeo aliekuoa mkaapa mbele ya altare.
Sasa uwezo wako umeishia hapo nikusaidieje??
Mkuu hawa ni wale wasiotaka kukosolewa, Kwa hyo sisi tunaoangalia mambo Kwa jicho la tatu tunaonekana tumetumwa, ngoja tukae pembeni, kila mtu apambane na hali yake.Sasa uwezo wako umeishia hapo nikusaidieje??
Lazima nimuonee huruma mwanaume mwenzangu, teh!Ulivyoongea kwa huruma sasa
HAPO ujue mwanaume amekaza, nia na madhumuni ngumu kumeza.Lazima nimuonee huruma mwanaume mwenzangu, teh!
Ushauri wangu,usitarajie kupata mtu ambaye yuko perfect kama unavyotaka,mtengeneze wewe mwenyewe,ukikuta mtu anatabia unazozitaka wewe ametengenezwa na mtu.Standards dont just emerge they are created doll.Mtengeneze hadi awe vile unavyotaka,kama hasikii give him a break rudi kapange akiona anakuhitaji atakuambia.Usimpe notice jipange vizuri then siku moja jioni mwambie nahama naona this is not working out,tupeane break,hata akisisitiza ubaki mwambie no na simamia maamuzi yako,then time will tell.Ukienda kwa mwanaume mwingine utakuta matatizo ambayo siyo hayo ila utakuta mengine.