Wivu ndio mapenzi kijana.Nilimpatia Bi Faiza humu humu...kisha tukaachana. Sio kwa ule wivu alio nao....khaaa !!!
Kweli kabisa.Ukiolewa na mlevi tu umeeishaaaa.
Ukizidi ni hatari.Wivu ndio mapenzi kijana.
Khaaa siku hizi ndo umekuwa na majibu ya hivi eeh, unatoa reference tu......haya sawa!!Story ya mwisho ya Lara itafute kwa profile yake.
Teh, hadi unaomba asafiri au siku za period ziongezeke upumzike kidogoukigusa tu mlangoni unayo dozi
Haha kweli ningeweza kukusimulia story ya Lara?Khaaa siku hizi ndo umekuwa na majibu ya hivi eeh, unatoa reference tu......haya sawa!!
Hamna bana, najua ni ndefu sana na hiki ndo kikwazo kwangu, sema nataka tu kujua huyo msomali alifanyaje? In a line or two, au naye ni mzee wa dozi nini?Haha kweli ningeweza kukusimulia story ya Lara?
Hahhaa ushirikiano sitaki kwa kweli, labda kama unanitumia m-pesaHamna bana, najua ni ndefu sana na hiki ndo kikwazo kwangu, sema nataka tu kujua huyo msomali alifanyaje? In a line or two, au naye ni mzee wa dozi nini?
BTW ntakupiga ohooo au ushirikiano na mimi hutaki tena?!
KhaaaaaHahhaa ushirikiano sitaki kwa kweli, labda kama unanitumia m-pesa
Nilikuwa natania tu na bonus
Hahahaaa!! Eti eeh!!Nilikuwa natania tu na bonus
Naona mtuhumiwa umekuja sasa!!Hana ulimbwende wowote,usijidanganye
Kivipi?Naona mtuhumiwa umekuja sasa!!
Liroooooo....Sasa ndo nakuelewa.
Me kwa kweli list sikumbuki wapo wangapi, nature inanisumbua, nimewapanga vizuri tu
Hahhaa liroooooo, bi mkubwa ndo kaniandikia hapoLiroooooo....
hahaha kumbe eeh.., afadhal my liroooHahhaa liroooooo, bi mkubwa ndo kaniandikia hapo