William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
KAMA JK alikuwa anawazo la kuwawajibisha mawaziri ikulu isingekuwa na haja ya kukana habari 'potofu' kama ilivyoziita tungeona vitendo tu!
Kusema kwamba haiwezi kulinda uozo ni kuwasafisha mawaziri kuwa hawakukosea kama hawatajiuzuru
ni kawaida ya ikulu Kulinda uovu Unamkumbuka LUHANJO KATIBU MKUU KIONGOZI KASTAAFU KWA HESHIMA MWACHENI BABA WA WATU APUMZIKE?
Nauhakika na ikulu uwa wanakula ila siwezi kuthibitisha
naamini na Pinda nae mwizi tu kwani huwa anakili aliyemfundisha na kumfanya awe mwanasiasa ni MKAPA.
NAZANI DK 90 ZIMEISHA wananchi tumepigwa bao japo refa hakuwa fear
Kusema kwamba haiwezi kulinda uozo ni kuwasafisha mawaziri kuwa hawakukosea kama hawatajiuzuru
ni kawaida ya ikulu Kulinda uovu Unamkumbuka LUHANJO KATIBU MKUU KIONGOZI KASTAAFU KWA HESHIMA MWACHENI BABA WA WATU APUMZIKE?
Nauhakika na ikulu uwa wanakula ila siwezi kuthibitisha
naamini na Pinda nae mwizi tu kwani huwa anakili aliyemfundisha na kumfanya awe mwanasiasa ni MKAPA.
NAZANI DK 90 ZIMEISHA wananchi tumepigwa bao japo refa hakuwa fear