Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
Jamani eeh, wanaoongelewa ni wafupi. Sisi matoli hatuna noma. hayo matatizo ya uzeeni tutakutana nayo. Mzituzogezee matatizo yenu sisi. We are just fine. Yaani watu wafupi wameshaanza kutupakazia ma supatoli.
Unajua raha sana kutembea na mtu mfupi pembeni yako heehhee. Yaani anakuona kama bigi braza. Ila watu wafupi noma, wanaweza kuanzisha zali, wanajua supa toli utasave. Sasa sijui hawajui sisi watu wa kimya kimyaa, tunafanya mambo kistaarabu?
Halafu nyie ma supa shoti, mna mtindo wa ku-compensate urefu kwa kushika kiuno wakati mnaongea, sasa sijui kimawazo mkijitanua holizontally mnajisikia mmerefuka vertically?? Maana mkiona hampati attention ki-sauti kinapanda halafu mnaanza kuongea na mikono mkinyooosha juu...yaani mkono unanyoooshwa hadi usawa wa kichwa, basi hapo supa shoti anaridhiiiiiiika, anaona kunyosha mkono wake hadi usawa wa kichwa na yeye karefuka.
Halafu kunawengine wakichombeza wanaweka sauti inakuwa nziiito kama Berry White ili waonekane bonge la mtu. Kumbe kinjemba kina-compensate.
Bila ya wafupi maisha yangekuwa boring sana. Ila kwenye kukimbia vinajitahidi. We unapiga step moja, shoti anapiga tatu, lakini anavyozichanganya utafikiri Carl Lewis.
Unajua raha sana kutembea na mtu mfupi pembeni yako heehhee. Yaani anakuona kama bigi braza. Ila watu wafupi noma, wanaweza kuanzisha zali, wanajua supa toli utasave. Sasa sijui hawajui sisi watu wa kimya kimyaa, tunafanya mambo kistaarabu?
Halafu nyie ma supa shoti, mna mtindo wa ku-compensate urefu kwa kushika kiuno wakati mnaongea, sasa sijui kimawazo mkijitanua holizontally mnajisikia mmerefuka vertically?? Maana mkiona hampati attention ki-sauti kinapanda halafu mnaanza kuongea na mikono mkinyooosha juu...yaani mkono unanyoooshwa hadi usawa wa kichwa, basi hapo supa shoti anaridhiiiiiiika, anaona kunyosha mkono wake hadi usawa wa kichwa na yeye karefuka.
Halafu kunawengine wakichombeza wanaweka sauti inakuwa nziiito kama Berry White ili waonekane bonge la mtu. Kumbe kinjemba kina-compensate.
Bila ya wafupi maisha yangekuwa boring sana. Ila kwenye kukimbia vinajitahidi. We unapiga step moja, shoti anapiga tatu, lakini anavyozichanganya utafikiri Carl Lewis.