MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Japo sija fanya utafiti rasmi, kuna mtu kanielezea kitu juzi na mimi kwa kutafakari tu naamini ni ukweli.
Juzi tumekaa na mmoja wa marafiki zangu ambae kiumri ni mkubwa zaidi yangu. Akaniuliza MwanaFa hivi unadhani Tanzania mtu aliye soma kwa wastani anazaa watoto wangapi na kwa wastani asiye soma anazaa watoto wangapi?
Nilikua sija lifikiria hili ila nikamuambia kwa kuangalia wale walio nizunguuka naweza sema kwa haraka haraka kwamba aliye soma huwa na wastani wa watoto wawili au watatu na asiye soma ana kuwa na wastani wa watoto sita au saba.
Akaniambia uko sahihi hizo ndiyo rough figures. Akaniambia je una kubali kwamba mtoto wa aliye soma nae ana nafasi kubwa sana kuwa msomi kama mzazi/wazazi wake na yule mtoto wa asiye soma kuna asilimia kubwa na yeye asifike mbali kimasomo?
Nikamuambia tena ndiyo hiyo ni kweli kabisa. Hata sisi kwenye ukoo wetu wali ambao wazazi wao walifika juu kielimu wengi wao na wao walifika juu kielimu na wale ambao wazazi wao wali pata elimu wastani au ndogo wengi wao wakaishia hivyo hivyo.
Hapa tena akaniambia kwamba observation yangu ipo sahihi. Sasa basi aka niambia nitafakari. Akasema kwa kutokana na logic hiyo basi ina maana msomi ata toa wasomi wawili au watatu na asiye soma nae ata toa watoto sita au saba ambao nao wata kuwa si wasomi. Akasema huoni hapa taifa letu tuna produce wasomi wachache sana ukilinganisha na wale ambao hawata kuwa wasomi?
Hizi zote ni rough figures tu ambazo tumeelezeana kutokana na simple logic and observation. Nadhani hata nyie wenzangu hamtabisha kwenye hili. Sasa basi kama kwenye kila kizazi tuna toa wasomi wachache kuliko wasio sema hii tayari si mzunguuko mbaya? Je ndiyo maana taifa lina zidi kudidimia siku hadi siku kutokana na kulea kizazi kisicho soma?
Kama tuta kubali kwamba hili tatizo lipo basi kama bado hatuja fanya ili takiwa serikali ifanye official research. Ikisha jua kwamba kweli tatizo lipo na kwa kiasi gani basi hatua ya pili ni kutafuta njia za kuwezesha na kuencourage watoto wanao tokana na wazazi wasio fika mbali kielemu wao wafike mbali kielimu.
Imefika muda sasa nchi ianze kutumia data and figures kuangalia kiundani haswa matatizo yetu ni yapi na yana ukubwa kiasi gani na kutoka hapo tutafutie ufumbuzi. Je wakuu mna lionaje hili?
Juzi tumekaa na mmoja wa marafiki zangu ambae kiumri ni mkubwa zaidi yangu. Akaniuliza MwanaFa hivi unadhani Tanzania mtu aliye soma kwa wastani anazaa watoto wangapi na kwa wastani asiye soma anazaa watoto wangapi?
Nilikua sija lifikiria hili ila nikamuambia kwa kuangalia wale walio nizunguuka naweza sema kwa haraka haraka kwamba aliye soma huwa na wastani wa watoto wawili au watatu na asiye soma ana kuwa na wastani wa watoto sita au saba.
Akaniambia uko sahihi hizo ndiyo rough figures. Akaniambia je una kubali kwamba mtoto wa aliye soma nae ana nafasi kubwa sana kuwa msomi kama mzazi/wazazi wake na yule mtoto wa asiye soma kuna asilimia kubwa na yeye asifike mbali kimasomo?
Nikamuambia tena ndiyo hiyo ni kweli kabisa. Hata sisi kwenye ukoo wetu wali ambao wazazi wao walifika juu kielimu wengi wao na wao walifika juu kielimu na wale ambao wazazi wao wali pata elimu wastani au ndogo wengi wao wakaishia hivyo hivyo.
Hapa tena akaniambia kwamba observation yangu ipo sahihi. Sasa basi aka niambia nitafakari. Akasema kwa kutokana na logic hiyo basi ina maana msomi ata toa wasomi wawili au watatu na asiye soma nae ata toa watoto sita au saba ambao nao wata kuwa si wasomi. Akasema huoni hapa taifa letu tuna produce wasomi wachache sana ukilinganisha na wale ambao hawata kuwa wasomi?
Hizi zote ni rough figures tu ambazo tumeelezeana kutokana na simple logic and observation. Nadhani hata nyie wenzangu hamtabisha kwenye hili. Sasa basi kama kwenye kila kizazi tuna toa wasomi wachache kuliko wasio sema hii tayari si mzunguuko mbaya? Je ndiyo maana taifa lina zidi kudidimia siku hadi siku kutokana na kulea kizazi kisicho soma?
Kama tuta kubali kwamba hili tatizo lipo basi kama bado hatuja fanya ili takiwa serikali ifanye official research. Ikisha jua kwamba kweli tatizo lipo na kwa kiasi gani basi hatua ya pili ni kutafuta njia za kuwezesha na kuencourage watoto wanao tokana na wazazi wasio fika mbali kielemu wao wafike mbali kielimu.
Imefika muda sasa nchi ianze kutumia data and figures kuangalia kiundani haswa matatizo yetu ni yapi na yana ukubwa kiasi gani na kutoka hapo tutafutie ufumbuzi. Je wakuu mna lionaje hili?