TAFAKARI No. 1

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Amini kwamba inawezekana uishi maisha ambayo ni mazuri tena ya kukuridhisha wewe na wengine hapa hapa duniani.
Kisha fanya bidii kwa vitendo sawa sawa na imani hiyo.
Ejm
 
Toa mchanganuo wa nini cha kufanya.Kwani kila siku Mama ntilie na machinga wanasumbuliwa,biashara ndogondogo zimevamiwa na wageni,ukianzisha mradi mkopo ni tabu na kodi lukuki,ebu tuelimishe basi nini kinaweza kututoa.
 
Toa mchanganuo wa nini cha kufanya.Kwani kila siku Mama ntilie na machinga wanasumbuliwa,biashara ndogondogo zimevamiwa na wageni,ukianzisha mradi mkopo ni tabu na kodi lukuki,ebu tuelimishe basi nini kinaweza kututoa.

Wapo waliofanikiwa katika hali hizo hizo.
Nadhani mwandishi anataka kutujulisha tusikate tamaa?
Au?
Mimi sijui sana lakini.
Narudi class.
 
Amini kwamba inawezekana uishi maisha ambayo ni mazuri tena ya kukuridhisha wewe na wengine hapa hapa duniani.
Kisha fanya bidii kwa vitendo sawa sawa na imani hiyo.
Ejm

Ndugu yangu Mmaroroi, soma hizo bolds, ukiweka kichwani kuwa inawezekana, utaweza hata kwa kuanzia chini, sio lazima mkopo tu save taratibu na uwekeze hatua kwa hatua inawezekana tu. Kwani kina Peacock walikua na ajira, elimu, mikopo mikubwa? na wengineo walioanzia chini.
Jaribu pia kufanya vitu kwa kufuata sheria anzia na biashara ndogo, huku umeajiriwa, mikopo pia inapatikana kwa biashara ndogo mf Grocery, duka, nyumba zenye hati hata za kata wanapokea, mifugo: kuku, ngo'mbe.
Ukiwa na positive attitude utafanikiwa lakini ukikazania kuwa haiwezekani ndo basi tena. Mie nilikimbizia hiyo mikopo wee, nimeacha, sasa hivi nimeanza mifugo yangu itoshe matumizi yangu ya mwezi, then matumizi + fees ya mtoto, then matumizi + fees yangu + ya mtoto = Nisiwe tegemezi tena kwa mshahara ili niwekeze kwenye vitu vingine. BADILIKA
 
Ndugu yangu Mmaroroi, soma hizo bolds, ukiweka kichwani kuwa inawezekana, utaweza hata kwa kuanzia chini, sio lazima mkopo tu save taratibu na uwekeze hatua kwa hatua inawezekana tu. Kwani kina Peacock walikua na ajira, elimu, mikopo mikubwa? na wengineo walioanzia chini.
Jaribu pia kufanya vitu kwa kufuata sheria anzia na biashara ndogo, huku umeajiriwa, mikopo pia inapatikana kwa biashara ndogo mf Grocery, duka, nyumba zenye hati hata za kata wanapokea, mifugo: kuku, ngo'mbe.
Ukiwa na positive attitude utafanikiwa lakini ukikazania kuwa haiwezekani ndo basi tena. Mie nilikimbizia hiyo mikopo wee, nimeacha, sasa hivi nimeanza mifugo yangu itoshe matumizi yangu ya mwezi, then matumizi + fees ya mtoto, then matumizi + fees yangu + ya mtoto = Nisiwe tegemezi tena kwa mshahara ili niwekeze kwenye vitu vingine.
BADILIKA

Mama JOE,
Moja kati ya vikwazo vingi vinavyowazuia watu wasiendelee, ni kujifunza tu kwa WALIOSHINDWA, na kusahau kujifunza kwa WALIOFANIKIWA.

Kubadilika ni muhimu.
 
Mama JOE,
Moja kati ya vikwazo vingi vinavyowazuia watu wasiendelee, ni kujifunza tu kwa WALIOSHINDWA, na kusahau kujifunza kwa WALIOFANIKIWA.

Kubadilika ni muhimu.

Ndiyo, ni muhimu kuwa na vision to make this real, choose your own role model " I WANT TO BE LIKE HIM / HER" hata kama vitu havitakuwa materialized mapema stick to your plans and your means.
Mikopo mara nyingi ni easy way out, nyumba nzuri, gari kubwa vinalipiwa miaka yako yote ya ajira, then ukistaafu means ya kuishi hata ktk nyumba hiyo tu huna, gari ndo acha kabisa. Start from the bottom to the top, its possible
 
Toa mchanganuo wa nini cha kufanya.Kwani kila siku Mama ntilie na machinga wanasumbuliwa,biashara ndogondogo zimevamiwa na wageni,ukianzisha mradi mkopo ni tabu na kodi lukuki,ebu tuelimishe basi nini kinaweza kututoa.

Bidii bila maarifa ni kazi bure. Kwanza pata maarifa sina maana ya elimu ya darasani tu lah hata jinsi ya ku influence decision zinazofanywa na hao wasumbufu ni maarifa. Je utawezaje kufanya hivyo? Acha confrotations toa suggestions/suppositions kwa kutumia hekima na busara; fanya networkings tengeneza mazingira mazuri na kwa wengine pia waweze kufanikiwa then utaona matunda ya maneno ya mwandishi wa hii thread.

Watu wengi wanafikiri kukesha kufanya kazi bila kuhakikisha uwepo wa mambo mengine muhimu kuleta tija. Mara nyingi wameishia kukata tamaa na kuishia kuzeeka kwa stress huku wakiwa wanyonge. Sina maana watu wasifanye kazi no ila ni vipi unafanya kazi isiyo leta mafanikio? Kumbe mafanikio ni zaidi ya kufanya kwa bidii. Hofu ya Mungu ni mwanzo wa mafanikio.

Ukiwa na hofu ya Mungu hutamwibia mwenzako, hutapenda dhuluma kwa kutegemea jasho la wenzako na utaheshimu utu wa wenzako maana ni viumbe wa Mungu, utathamini vipaji vya wengine na utapenda kushirikiana badala ya kufanya kama vile wewe tu ndo upo pekee hapa duniani na wengine wote ni ziada na si muhimu kwako. Nature haiko hivyo kama sura zisivyo fanana jinsi hiyo hiyo pia perfection ya jambo ni kutimiza law ya complimentarity, usijidharau au kuji exclude do with others; make them partners and not either donors/recepients nor object to be used.

Imani kwa Mungu ni ingridient muhimu katika mafanikio ya haraka. Imani hutoa hofu, huleta kujiamini na hivyo kuwa risk taker husaidia kuwa focused na hutuliza ubongo na kuufanya utende kwa uhakika zaidi.

Neno la Mungu linasema to your "faith add virtue and to virtue knowledge, to the knowledge temperance to the temperance excellence and to the excellence patience and to patience godliness and godliness brotherly kindness and to brotherly kindness charity for if these things bee in you and abound you shall be fruitfull...". and with all these do with love whatever you wish to do. The true love beggins with you loving yourself. Many people dont love themselves if they do they would let capable people do things perfectly for their own wellbeing and others for upendo huvumilia hautakabari mabaya, hauhusudu (pesa,watu, mali, madaraka etc), hauwazi mambo yake menyewe huwaza na ya wengine na hupenda kushirikiana na wengine.
 
Bidii bila maarifa ni kazi bure. Kwanza pata maarifa sina maana ya elimu ya darasani tu lah hata jinsi ya ku influence decision zinazofanywa na hao wasumbufu ni maarifa. ;;;;;;;;;;;;;;;;Acha confrotations toa suggestions/suppositions kwa kutumia hekima na busara; fanya networkings tengeneza mazingira mazuri na kwa wengine pia waweze kufanikiwa then utaona matunda ya maneno ya mwandishi wa hii thread.

QUOTE]

FELISTER,
Karibu tena.
Mawazo yako yamejaa utajiri wa kutosha kwa yeyote anayekusudia kuyatafuta maendeo kwa dhati na uhalisi.
 
Hili ni wazo zuri.
Lakini tuamini kabla ya kuona kitakacho tu aminisha?
Exaud na wengine,
Nini tulichoona ili tuamini?
 
Hili ni wazo zuri.
Lakini tuamini kabla ya kuona kitakacho tu aminisha?
Exaud na wengine,
Nini tulichoona ili tuamini?

Emma, Kama unaamini kuwa unaweza kuwa na biashara, kazi nzuri, elimu utatumia kila fursa inayopita mbele yako, lakini ukiamini kuwa haiwezekani kufanya chochote hata fursa nzuri inaweza pita mbele yako au ukaletewa ukaikataa si huwezi - haiwezekani tu ndo imejaa kichwani mwako.
Ndo tunasema mkopo mkubwa wa duka kkoo, contenas za Dubai etc haupo lakini je mkopo wa kuanzia biashara nyingine si upo?
Kuna watu wameishia form 6 kisa hakupata scholarship kwenda nje, kwani hapa hamna vyuo?
Kuna watu wanasota mtaani na degree kisa hajaona kazi inayomfaa, afu anaomba nauli ya daladala?

Ukiamini kila opportunity utaifanyia kazi, even if as a stepping ladder to the next level, kwasababu utakuwa na vision yako ya maisha bora.

Halafu anasema na "Kisha fanya bidii kwa vitendo sawa sawa na imani hiyo"
Mie nimetoa mfano wa ninachofanya, nadhani Exaudi mwenyewe economist atatupa mifano zaidi, au wewe pia.

 
Emma, Kama unaamini kuwa unaweza kuwa na biashara, kazi nzuri, elimu utatumia kila fursa inayopita mbele yako, lakini ukiamini kuwa haiwezekani kufanya chochote hata fursa nzuri inaweza pita mbele yako au ukaletewa ukaikataa si huwezi - haiwezekani tu ndo imejaa kichwani mwako.
Ndo tunasema mkopo mkubwa wa duka kkoo, contenas za Dubai etc haupo lakini je mkopo wa kuanzia biashara nyingine si upo?
Kuna watu wameishia form 6 kisa hakupata scholarship kwenda nje, kwani hapa hamna vyuo?
Kuna watu wanasota mtaani na degree kisa hajaona kazi inayomfaa, afu anaomba nauli ya daladala?

Ukiamini kila opportunity utaifanyia kazi, even if as a stepping ladder to the next level, kwasababu utakuwa na vision yako ya maisha bora.

Halafu anasema na "Kisha fanya bidii kwa vitendo sawa sawa na imani hiyo"
Mie nimetoa mfano wa ninachofanya, nadhani Exaudi mwenyewe economist atatupa mifano zaidi, au wewe pia.

Asante mama Joe,
Nilikuwa off kwa muda.
 
Back
Top Bottom