Tafakari endapo Andengenye atakuwa next IGP. Tujadili kwa mapana...

Hiyo nafasi kwa vyanzo vya ndani ya jeshi la polisi wanasema alkuwa ameandaliwa kupewa marehemu rpc barlow bt akapgwa ftna snema ikatengnezwa
 
kabila linaingiaje hapo?

regionalization balance ni muhmu kaka kabila lazma liingie kwa ninavyowajua wanyakyusa ni watu wenye ukabila sana nina xprnce yao apa ofsn wanabeba ata kischobebeka full kuongea kikabila ofsn na kubebana bora wachaga wanabeba anayebebeka
 
Yes, TUNAHITAJI IGP BALANCED NA BWANA ANDENGENYE ANAFAA SANA, HASAHASA KU'DEAL' NA MIGOGORO YA KISIASA AMBAYO NDIO TATIZO SUGU LA WAKATI TULIONAO!
 
regionalizatin balance ni muhmu kaka kabila lazma liingie kwa ninavyowajua wanyakyusa ni watu wenye ukabila sana nina xprnce yao apa ofsn wanabeba ata kischobebeka full kuongea kikabila ofsn na kubebana bora wachaga wanabeba anayebebeka
Tupe ushahidi huko jwtz kama general mwamunyange amefanya hivyo ili kuthibitisha uzushi wako!
 
We umetumwa na nani? Nimeiona kwenye magazeti umeileta tena huku. Kumbuka Mwema alivyopatikana. Tanzania ina watu saafi nje wakitumikia mashirika ya kimataifa. Achana na ukabila. Tanzania ni zaidi ya shida zako. Unataka wote tuongozwe na asiyefaa kisa wa kwenu?
Nadhani kampeni zako zinamharibia badala ya kumjenga.
 
We umetumwa na nani? Nimeiona kwenye magazeti umeileta tena huku. Kumbuka Mwema alivyopatikana. Tanzania ina watu saafi nje wakitumikia mashirika ya kimataifa. Achana na ukabila. Tanzania ni zaidi ya shida zako. Unataka wote tuongozwe na asiyefaa kisa wa kwenu?
Nadhani kampeni zako zinamharibia badala ya kumjenga.
hasira zanini ndugu,mbona umekuja na lawama kemkem tatizo nini? huwezi changia bila kuweka ukabila? jaribu kukua kidogo basi eeeeeh.
 
Hatapata huo u igp kama mmeshaanza kuandika andika mautumbo haya
 
NAJUA UNAMKAPENIA NA KU CREAT MASS SUPORT KWA WASIO NA MPANGO, SI MUIACHIE KAMATI IFANYE KAZI YAKENAONA UMEMWEKEA NA PROFILE NZIMA JAPO ELIMU YA CHUO HUJASEMA MWAKA GANI NA KOZI IPI .
kwa mimi si vyema kuwa na CDF NA IGP AMBAO WOTE NA MKOA MMOJA NA DINI MOJA WAKO WAPI WAKURYA,TOSSI NA WENZIE.
 
Huwezi kabidhi ulinzi wa nchi especially JWTZ & TPF kwenye eneo moja la nchi....Hii ni nchi wakuu, wacheni kuwafanya wanaotuongoza kuwa vipofu kwenye issue genuine.... Pole Andengenye ,hawa wanakuharibia tu Kamanda
 
Usanii tu hamna kitu, jeshi la polic livunje, tumechoka kubambikiwa kesi, ulimboka, kupiga mabomu raia, mauaji ya kisiasa! Walarushwa wakubwa! Top ten corrupt force
 
Back
Top Bottom