Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Leo mchana nimepata kitu kilicho nishutua sana kuwa eti mafisadi baada ya kuona account zao zita taifishwa nje/ndani wameamua kuzihifadhi pesa zao kwenye simu/laini ya kila mmoja wetu. Ambaye kuzitoa hizo pesa inakuwa ngumu/haiwezekani
Wakuu semeni ukweli wa hii issue
Piga namba hizi kwenye simu yako (nilijaribu voda)
*150*55# >>1 >>1
soma hiyo sms
kwangu inasomeka " The balance of your account is Sh. 800,000."
sina account ya m-pesa, tigo-pesa na zingine zote ...............sasa hii maana yake ni nini ?????
Je ni kweli ????
Wakuu semeni ukweli wa hii issue
Piga namba hizi kwenye simu yako (nilijaribu voda)
*150*55# >>1 >>1
soma hiyo sms
kwangu inasomeka " The balance of your account is Sh. 800,000."
sina account ya m-pesa, tigo-pesa na zingine zote ...............sasa hii maana yake ni nini ?????
Je ni kweli ????