jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,595
:embarassed2:Hivi hawa TaESA - Tanzania Employment Agency, Tanzania Employment Services Agency. Ukiingia kwenye website yao, utasikitika mno, hawaja post nafasi za kazi mbali mbali, hakuna post za nafasi za training, workshops hata guidance kwa jobseekers, ka website kako shallow kama website za mashirika na wizara zetu serikalini, nina uhakika mpaka Mh JK anawapa support kubwa tu, ila inasikitisha agency nyeti kama hizi zinavyoshindwa kuweka info za kutosha kwenye websites zao, jariburini muingie zile za DAWASA, TANESCO, TRA au BRELA! Mtaishiwa nguvu kabisa!
Inasikitisha sana wadau....
Inasikitisha sana wadau....