Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Wameachiwa kwa dhamana mpaka tarehe 10 mwezi wa 10.
Mara nyingi huwa nawaambia CCM hawajui kufanya morden propaganda inatumia propaganda za kikoloni za kutisha watu, hebu jiulize swali dogo tu kwa kitendo hiki CCM imepoteza kura ngapi wangapi wameichukia CCM kupitia polisi kuwakamata wabunge wao. Hii kesi itaiuza CDM zaidi ya CCM maana inasambaza moto mkoa wa Tabora ulio ngome ya CCM.Kwa vyovyote iwavyo, hii kesi kama wataifikisha mahakama ya Tabora mjini itakuwa na manufaa makubwa kwa CDM, Maana itatoa fursa kwa wakaazi wa Tabora kuhudhuria na kusikiliza jinsi ambavyo CDM walivyo watetezi wao na kuwajengea ujasiri wanatabora wengi kuacha woga wa polisi na hata kuwafanya wajiunge na CDM. Nafikiri CCM kama wataipotezea hii kisi watakuwa wameliona hilo. Maana mbali na umaarufu kwa CDM kuongeza TBR pia mbinu zao za kutafuta ushindi kwa vyovyote zitawekwa wazi nchi nzima. Na si tu kuwekwa wazi bali piakuwafanya wakuu wa mikoa na wilaya kuonekana useless miongoni mwa wananchi wasiokuwa na imani na CCM. Yaani hii kesi ni kama vile Kitendo cha Salva kukanusha kuwa JK hakununuliwa suti, angekaa kimya leo hii ni wachache sana wangekuwa wanaelewa habari ile ila kwa kukanusha wameipatia Publicty habari ile na kila mtu anajua Wikileaks iliandika nini kuhusu Rais wetu.
Malaria sugu alishakwambie yeye dini kwanza hana ubia na CCM iwapo haitaleta mahakama ya kadhiMalaria Sugu wewe huyo ? Basi tutaona mengi mwaka huu,
Hongera. Kazeni buti kulinyakua igunga. Lkn muheshimu hijab tu na sio mnavua vua watu
Mkuu DOUGLAS, unajua nilipoona hilo andiko la MS nikakumbuka kusikia wimbo mmoja unaimbwa "Neema,neema, neema imefunuliwaaa!.........##~~~" si ajabu MS yamempata hayo. Tuvute subira kudhibitisha hilo.Malaria Sugu wewe huyo ? Basi tutaona mengi mwaka huu,
========From the bottom of my heart, mungu akinijalia mtoto wa kiume nitamwita Lissu
wameachiwa au wamepewa dhamana, fafanua.
Hongera. Kazeni buti kulinyakua igunga. Lkn muheshimu hijab tu na sio mnavua vua watu
Wana JF,
Taarifa niliyoipata hivi punde ni kwamba wapambanaji wa Chadema, Meneja wa Kampeni Sylivester Kasulumbayi (MB) na Suzan Kiwanga (MB)waliokuwa wamekamatwa kwa hila na polisi wa magamba wameachiwa huko Tabora na sasa muelekeo ni kwenye uwanja wa mapambani Igunga, Hakuna kulala mpaka kieleweke
Tayari makamanda wameachiwa kwa dhamana baada ya kusomea shitaka la shambulio la aibu, kwa uoga mkubwa wamesomewa mashtaka kwenye mahakama huko Tabora, badala ya Igunga kosa lilikofanyika.
Mapambano yanaendelea
hata nyerer kabla ya uhuru alikamatwa na wakolono(weupe)ila haikuzuia uhuru sembuse hawa wakoloni weusi wasiojua hata bastola inatengenezwaje?
freedom is coming tomorow.