mapambazuko
Member
- Oct 6, 2010
- 23
- 1
Jamani sijui wenzangu kama mmepata kung'amua kitu hiki mkoa wa Tabora ni kama vile umekufa.
Kwa jinsi nionavyo mimi licha ya wakazi wake kuwa na chakula pengine cha kutosha lakini miaka nenda rudi nikipita hapo sioni mabadiliko utafikiri vile hakuna wazawa waliokwenda shule mpaka leo mbavu za mbwa ziko katika mji tatizo liko wapi?
-kwa wazawa wenyewe?
-serikali?
Kwa kuwa kama ni viongozi waliosoma na kuwepo katika sytem hii ya serikali wapo tangu kitambo mbona kunadorola yaani huwa napata maswali mengi kichwani?
Hebu nisaidieni hasa ninyi wazawa wa Tabora na wenye kuufahamu vizuri unastahili kuwa kama ilivyo? [Ukizingatia kuwa ni mkoa wa kihistoria katika harakati za uhuru wa nchi hii]
Kwa jinsi nionavyo mimi licha ya wakazi wake kuwa na chakula pengine cha kutosha lakini miaka nenda rudi nikipita hapo sioni mabadiliko utafikiri vile hakuna wazawa waliokwenda shule mpaka leo mbavu za mbwa ziko katika mji tatizo liko wapi?
-kwa wazawa wenyewe?
-serikali?
Kwa kuwa kama ni viongozi waliosoma na kuwepo katika sytem hii ya serikali wapo tangu kitambo mbona kunadorola yaani huwa napata maswali mengi kichwani?
Hebu nisaidieni hasa ninyi wazawa wa Tabora na wenye kuufahamu vizuri unastahili kuwa kama ilivyo? [Ukizingatia kuwa ni mkoa wa kihistoria katika harakati za uhuru wa nchi hii]