ni kwamba hujasikia habari ya huyo afande tapeli au?Kama anamshika makalio afande.. Au ni kipofu
Duuh kumbe amelibip geshini kwamba hujasikia habari ya huyo afande tapeli au?
Kwa nini wanamuweka ndani na Nguo za jamuhuri?
HADI HURUMA
umenikumbusha kuna siku kaka yangu alipaki gari ya kampuni nyumbani kwake.
bahati mbaya au mazoea ya kaka kupaki gari pale hadi asubuhi ili kuwahi kazini!siku hiyo ikaibiwa walioiba walidhani kaka atalala hadi asubuhi hivyo akiamka gari itakuwa imeshafika dar na imeshacharangwa!mungu ni mkubwa sana hakukaa mda mrefu akatoka na kukuta gari haipo cha ajabu aliilock na funguo zote anazo!
alichanganyikiwa asijue la kufanya alijikuta anaitafuta gari chumbani alipolala.
mimi nikapiga hesabu kwamba ni saa moja limetumika hiyo gari kuibiwa hivyo kama umbali imefika basi ni njia panda au same!
nikampigia simu askari wa doria mwenye gari na kumpa ufahamu wa gari iliyoibiwa ila nilikisea plate namba moja!
askari akaniambia hiyo gari imepita ngoja waifatilie.waliipata cha ajabu iliweza kupita barrier zote sababu jamaa aliekaa kushoto alikuwa akitoa kitambulisho chake cha polisi na kupita beria zote!
walimkamata yule askari hewa na gari na walimpiga kwa kuichafulia dola sifa.askari alikuwa mwizi na walimpa displini sana.
hadi anafikishwa kituoni ameoza na alichukuliwa hatua stahiki
Hapana kuchezea kuchanganyikiwa, waweza litafuta gari mfukoni.alitafuta gari chumbani?
Ajira hakuna kitaaModo imemkubali