Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...ukitegemea mchumba wako atabadilika tabia ukishamuoa, jua unajitafutia kujiudhi roho tu. Tabia hazibadilishiki. Kama mwanamke/mwanaume alikuwa mzinzi ataendelea hivyo hivyo hata mkioana.
Kama mwanamke.mwanaume alikuwa mdokozi, mchoyo, mchafu, mwongo...nk atayaficha makucha yake kwa kipindi fulani kutimiza malengo yake, kisha maisha yataendelea kama kawaida.
Wazee wetu ndoa zao zilidumu kwakuwa kwenye kutafuta mchumba, walihusishwa wanafamilia na marafiki wa karibu kwenye kutoa ushauri na maamuzi yupi anafaa, au hafai.
Ndoa za kisasa, waamuzi wa mwanzo na wa mwisho ni wanandoa wenyewe. No wonder ndoa hazidumu.
Unakubali au unakataa somo hili?
Jadili.
Kama mwanamke.mwanaume alikuwa mdokozi, mchoyo, mchafu, mwongo...nk atayaficha makucha yake kwa kipindi fulani kutimiza malengo yake, kisha maisha yataendelea kama kawaida.
Wazee wetu ndoa zao zilidumu kwakuwa kwenye kutafuta mchumba, walihusishwa wanafamilia na marafiki wa karibu kwenye kutoa ushauri na maamuzi yupi anafaa, au hafai.
Ndoa za kisasa, waamuzi wa mwanzo na wa mwisho ni wanandoa wenyewe. No wonder ndoa hazidumu.
Unakubali au unakataa somo hili?
Jadili.