johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Mbunge wa Sengerema mh Tabasamu amesema Wananchi wangejua Bajeti anayotumia CAG kufanya Ukaguzi halafu ripoti yake inapigwa danadana Pasingekalika
Tabasamu amesema kwa mfano CAG akija Sengerema anakaa siku 45 na anakuwa na Watu 9 wanakaa kwenye Hotel ya viwango Vya Juu
Tabasamu amesema mwaka jana Bajeti ya CAG ilikuwa tsh 10 bilioni na ushee, halafu anaandaa ripoti ambayo kimsingi inacover 10% tu ya shughuli zilizofanyika kwenye Taasisi inayokaguliwa unakuta tena watu tunaanza kupiga danadana
Source: ITV Kipima Joto
Tabasamu amesema kwa mfano CAG akija Sengerema anakaa siku 45 na anakuwa na Watu 9 wanakaa kwenye Hotel ya viwango Vya Juu
Tabasamu amesema mwaka jana Bajeti ya CAG ilikuwa tsh 10 bilioni na ushee, halafu anaandaa ripoti ambayo kimsingi inacover 10% tu ya shughuli zilizofanyika kwenye Taasisi inayokaguliwa unakuta tena watu tunaanza kupiga danadana
Source: ITV Kipima Joto