hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
*VIJANA NI TUNU YA NCHI KUKOSA UZALENDO NI USALITI*
Na Mzee Kiruu
Vijana wengi wa kitanzania kwa kupitia asasi mbalimbali wamekuwa wakitumiwa na Mabeberu kuchochea machafuko na fikra za vibarakara. Hii ni kwasababu ya kukosa Uzalendo na tamaa za kupata mafanikio ndani ya muda mfupi.
Moja kati ya Taasisi za Vijana wanaotumika kupandikiza fikra za kichochezi ni Tanzanian Youth Vision Association (TYVA). Taasisi hii hupokea fedha kutoka kwa wahisani mbalimbali wenye nia ovu ya kuhamasisha na kusambaza mahusiano ya jinsia moja. Walifanya kikao Dodoma June 4, 2019 kwa kushirikiana na Taasisi ya Haki za Binadamu yenye makao yake Dar es Salaam. Haya wanayoyafanya ni kinyume cha sheria, mila na tamaduni za Watanzania.
Sambamba na hilo vijana hao hutumia nafasi hiyo kuwarubuni vijana wa mijini na vijijini na kutotii sheria na kuhamasisha vurugu.
*Vijana wa Tanzania, huu ni wakati wa kuwa pamoja na kuujenga uzalendo wetu kwa dhati.*
Na Mzee Kiruu
Vijana wengi wa kitanzania kwa kupitia asasi mbalimbali wamekuwa wakitumiwa na Mabeberu kuchochea machafuko na fikra za vibarakara. Hii ni kwasababu ya kukosa Uzalendo na tamaa za kupata mafanikio ndani ya muda mfupi.
Moja kati ya Taasisi za Vijana wanaotumika kupandikiza fikra za kichochezi ni Tanzanian Youth Vision Association (TYVA). Taasisi hii hupokea fedha kutoka kwa wahisani mbalimbali wenye nia ovu ya kuhamasisha na kusambaza mahusiano ya jinsia moja. Walifanya kikao Dodoma June 4, 2019 kwa kushirikiana na Taasisi ya Haki za Binadamu yenye makao yake Dar es Salaam. Haya wanayoyafanya ni kinyume cha sheria, mila na tamaduni za Watanzania.
Sambamba na hilo vijana hao hutumia nafasi hiyo kuwarubuni vijana wa mijini na vijijini na kutotii sheria na kuhamasisha vurugu.
*Vijana wa Tanzania, huu ni wakati wa kuwa pamoja na kuujenga uzalendo wetu kwa dhati.*