Ndugu wana JF,
Ninakerwa sana na hawa wazungu wanaokosa kazi kwao na kuja Tanzania na kujidai ni ma-exparts katika taaluma ambazo hata sisi wazawa tunazijua tena kuliko hata wao. Wengi wao wanakuja kupitia mashirika ya dini,na kujaribu ku-penetrate kwa kujidai kama vile ni madaktari,maofisa tawala au ma-engineer,wakati hawana lolote,isitoshe,wanatumia mbinu ya kama ma-valontia lakini wakishapata vibali vya kazi wanadai kulipwa mishahara tena kutoka serikalini,zipo baadhi ya hospitali za dini ambazo zimeajiri watu kama hao,tembelea hospitali nyingi teule (DDH) au VAH katika baadhi ya wilaya,mfano Ngorongoro,Songea n.k. utakuta wengi wapo kama madaktari au maofisa tawala ambao bado siamini kama uwezo wao unaozidi wasomi tulionao. Isitoshe,wanajipatia misaada na fedha kutoka katika nchi zao za Ulaya kwa kutumia majina ya taasisi tulizonazo kwa kujineemesha au kupata mitaji bila ya idhini ya taasisi hizo. Hela wanazozikusanya haziwekwi wazi ni kiasi gani,badala yake wanazitoa mifukoni mwao kama vile kutuzuga tuu. Hatuhijtaji kuwa shamba la kuwaneemesha kwa kupitia migongo yetu.
Tumechoka wadanganyika,tuamke.
WanaJF nawasikiliza.
Ninakerwa sana na hawa wazungu wanaokosa kazi kwao na kuja Tanzania na kujidai ni ma-exparts katika taaluma ambazo hata sisi wazawa tunazijua tena kuliko hata wao. Wengi wao wanakuja kupitia mashirika ya dini,na kujaribu ku-penetrate kwa kujidai kama vile ni madaktari,maofisa tawala au ma-engineer,wakati hawana lolote,isitoshe,wanatumia mbinu ya kama ma-valontia lakini wakishapata vibali vya kazi wanadai kulipwa mishahara tena kutoka serikalini,zipo baadhi ya hospitali za dini ambazo zimeajiri watu kama hao,tembelea hospitali nyingi teule (DDH) au VAH katika baadhi ya wilaya,mfano Ngorongoro,Songea n.k. utakuta wengi wapo kama madaktari au maofisa tawala ambao bado siamini kama uwezo wao unaozidi wasomi tulionao. Isitoshe,wanajipatia misaada na fedha kutoka katika nchi zao za Ulaya kwa kutumia majina ya taasisi tulizonazo kwa kujineemesha au kupata mitaji bila ya idhini ya taasisi hizo. Hela wanazozikusanya haziwekwi wazi ni kiasi gani,badala yake wanazitoa mifukoni mwao kama vile kutuzuga tuu. Hatuhijtaji kuwa shamba la kuwaneemesha kwa kupitia migongo yetu.
Tumechoka wadanganyika,tuamke.
WanaJF nawasikiliza.