Hoja gani zaidi ya umimi tu....eti yeye ndio kiongozi aliezunguka zaidi kuliko wengine...anataka kusema yeye ndio amekijenga zaidi chadema kuliko wenzie
huu ubinafsi ndio hautakiwi.
we utakua nape
na Dr. Kitila Mkumbo akikubali kuwa Abdallah?
Vipi umeumia eeeh? Hatoki mtu hapaAnasema atakuwa wa mwisho kutoka ndani ya chama kwa ihali yeke!
akitoka kina mbowe wataonekana wameshinda. Ngoja tukomae nao humo humo .
Zitto ni mwanaume wa hatareee.
8.Katika mkoa wa kigoma nilizunguka majimbo yote
9.Kigoma uliogoza kwa kura za urais kwa CDM kuliko mikoa yote nchini nilikopiga kampeini mimi
Zitto kuwa mkristo ndio utakubalika.
We kauzu umeona kithungu ni kitu cha maana! wacha ujinga mimi sio Ben najivunia kiswahili changu.
Huyu naye ni wa kumfuatilia. Bila shaka anafadhili.