Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wana-wa- Bodi mapema leo katika pekuapekua yangu ya nyaraka kadhaa za Jeiefu, nikakutana na mafile kadhaa.
Ndanimwe kulikua na file zenye title ya SIASA, HABARI MCHANGANYIKO n.k .
Ili mradi nilikuta kila jukwaa lina file lake.
Yote kwa yote nikajikuta file lenye title ya ChitChat ndiyo kichwa yangu kikanituma nilifungue.
Naaam,
bila ya ajizi nikalifungua, katika peruziperuzi nikakutana na nyaraka iliyomteua Babu muhula wa mwisho kua Mkaguzi.
Kipengele hicho chasema
"Mhe. Aspirin umeongezewa muda wa mwaka mmoja kua Mkaguzi, na uteuzi huu utakoma tr 25.07.2012, aidha unakumbushwa upunguze ulevi unapokua makaguzini, kwani inaonekana baadhi ya wakati mipombe ikikuzidi shughuli inakushinda na matokeo vijana wadogo wenye sifa mahiri kama B52, BAGAH, PLATOZOOM wanakukagulia wewe ukiwa bwaksiiii "
Wadau kwa utambuzi huu ni uthibitisho Babu takrban miezi kadhaa alikua anakagua batili hata leo mbichi kakagua newcomer mmoja!
Kwa maana hiyo Babu hadi hivi sasa hana leseni ya ukaguzi ama aombe upya kuhuisha leseni yake, au awapishe vijana Mashababi wachukue kijiti !
Naomba ijadiliwe.
Ndanimwe kulikua na file zenye title ya SIASA, HABARI MCHANGANYIKO n.k .
Ili mradi nilikuta kila jukwaa lina file lake.
Yote kwa yote nikajikuta file lenye title ya ChitChat ndiyo kichwa yangu kikanituma nilifungue.
Naaam,
bila ya ajizi nikalifungua, katika peruziperuzi nikakutana na nyaraka iliyomteua Babu muhula wa mwisho kua Mkaguzi.
Kipengele hicho chasema
"Mhe. Aspirin umeongezewa muda wa mwaka mmoja kua Mkaguzi, na uteuzi huu utakoma tr 25.07.2012, aidha unakumbushwa upunguze ulevi unapokua makaguzini, kwani inaonekana baadhi ya wakati mipombe ikikuzidi shughuli inakushinda na matokeo vijana wadogo wenye sifa mahiri kama B52, BAGAH, PLATOZOOM wanakukagulia wewe ukiwa bwaksiiii "
Wadau kwa utambuzi huu ni uthibitisho Babu takrban miezi kadhaa alikua anakagua batili hata leo mbichi kakagua newcomer mmoja!
Kwa maana hiyo Babu hadi hivi sasa hana leseni ya ukaguzi ama aombe upya kuhuisha leseni yake, au awapishe vijana Mashababi wachukue kijiti !
Naomba ijadiliwe.