Wajibu nini? Kama mashtaka yenyewe yanasomeka kwamba walikutanika bila kibali, wakati huou huo polisi wanasema walikuwa na kibali cha mkutano na siyo maandamano.
Je unaweza kuwa na mkutano bila kukusanyika?
Hao ndio polisi wa ccm,na mahakama za ccm. UPUUUUUUUUUUUUUUZI MTUPU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.