Taarifa ya Jeshi la Polisi kukanusha taarifa ya gazeti la Jamhuri

Hivi vichaa na wenyewe huwa wanatafutwa kwa tuhuma za ujambazi!?...hahahahaa, SINEMA!
 
Muhimbili alipelekwa lini, na nani, na kichaa alisafirije kutoka mwanza hadi Dar na hata jeshi la polisi kujua kwamba amelazwa? Je, gazeti limekuwa likipata habari zake kutoka wodini?

Ngoja kwanza.....
 
Kama source ni kichaa, mbona toleo la wiki iliyopita nakala zilinunuliwa zote kwa mkupuo na kuchomwa moto? Hapa nahisi IGP SAID MWEMA na kundi lake ndio vichaa zaidi.
 
Mi naomba kuuliza..Hivi kama wewe ni mwandishi wa habari ukawa unamuhoji mtu,hivi kwa maelezo yake kama ni kichaa utashindwa kweli kugundua? Hivi vichaa wanaweza kuongea kwa kirefu tu bila hata chembe ya ukichaa wake kuonekana?
 
Tanzaniaaaaa inapoteza sifa za kiulinzi hasa kwenye jeshi letu la polisi kwa kuelemewa na siasa uchwala shame on you.
 
Kwny uchaguzi wa mwaka 2010, rpc wa mwanza alishinikizwa na ccm (Jk) kuusambaratisha umati wa watu ili ushindi wa kiwia utenguliwe na dialo atangazwe mshindi! RPC alikataa kusambaratisha umati ule mpaka wakafikia hatua ya kung'oa mageti ya uzio wa h/shauri na kutibua uchakachuaji. Swali langu ni nani alikuwa rpc wa mwanza kipindi hicho?
Simon Sirro
 
Sidhani kama kuna haja ya kupingana na kauli ilotolewa na jeshi la police unless tuna ushahidi kwamba hakuwa kichaa hapo kabla. Ikumbukwe "Mgonjwa huyu" ana ndugu, jamaa na marafiki aloishi nae kitambo chote hiki japo sijui umri wake. Tutaposikia kauri zao kuwa hakua hivyo hapo mwanzo then ndio tuna right ya kusema chochote lakini kwa sasa tushaambiwa ni mgonjwa wa akili na kalazwa muhimbili.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
You haven't said anything new here dude. Kupinga kwa Polisi is all about one against one evidence!!!!
 
Askari aliefichua maovu ya polisi waandamizi wanaojihusisha na mitandao ya ujambazi morogoro mwaka juzi aliambiwa MGONJWA WA AKILI.
Askari mwingine wa arusha nae alijitoa muhanga akaweka hadharani unyanyasaji mkubwa unaofanywa na maafisa wa juu wa jeshi la polisi kwa askari wa chini naye akaambiwa MGONJWA WA AKILI

Hivi ww Advera na shemeji wa kikwete Mwema mnatuona watanzania wajinga sana????? dhuruma na uonevu huwa haviishi..hamtaweza kuwafanya watanzania wote wajinga muda wote...ole wenu
 
Ndugu zangu, hupaswi kuumiza kichwa kutambua kuwa Polisi wana siri gani nyuma ya hili sakata. Waandishi wa habari tunakabiliwa na wakati mgumu. Tunapoamua kuanika mambo ya hatari kama haya, tunatambua hatari iliyo mbele yetu. Kwa ufupi tu niwaombe IPUZENI TAARIFA YA MSEMAJI WA POLISI. Tunafanya kila liwalo ukweli wote ujulikane. Swali dogo tu, iweje kichaa atolewe Dodoma kwenye hospitali maalumu ya vichaa, apelekwe Muhimbili? Hatujakata tamaa. subirini.

Bravo bravo Manyerere kazeni kamba mpaka ukweli ujulikane wao wanadhani watanzania wote tuna akili kama zao,hili suala hata kama wasipolipeleka mahakamani hata kupata taarifa tu kwetu wananchi inatosha sana! Aluta continua.............!
 
tukumbuke kuwa taarifa yeyote inayo fika polisi lazima ifanyiwe uchunguzi wakina ambao hichua muda mwingi zaidi ya huo ulio utaja. waki kurupuka matokeo yake iatkuwa kama hilo gazeti.
Safi junior Recture kama unavojulikana kwa avatar yako. Ufupi wa statement ya jeshi la polisi juu ya hili unasema kitu hasa kwa polisi hii ya kwetu iliyozoea mambo fulani. Namana alivyopatikana huyo Malele toka Dodoma hadi Dar bila kupitia hata kituo cha afya cha bunge nazo zinatia doa. Twawatakia mema yote hao akina Interpol ya Kenya akina Mwema Said!
 
Kumbe jamaa ni chizi?Ili Taarifa hii iwe na mashiko,ingeambatanishwa na uthibitisho wa kitabibu unaoonyesha historia ya uchizi wa mtuhumiwa.Taarifa hii ni nyepesi mno kuiamini
 
Safi junior Recture kama unavojulikana kwa avatar yako. Ufupi wa statement ya jeshi la polisi juu ya hili unasema kitu hasa kwa polisi hii ya kwetu iliyozoea mambo fulani. Namana alivyopatikana huyo Malele toka Dodoma hadi Dar bila kupitia hata kituo cha afya cha bunge nazo zinatia doa. Twawatakia mema yote hao akina Interpol ya Kenya akina Mwema Said!


Mbona kugawana mafuko ya fedha kule Kariakoo huwa hawahitaji muda wa kutafakari? Acha upuuzi.
 
Nina wasi wasi na hili jeshi letu la polisi, isijekuwa hata wakuu wa jeshi la polisi pia wanamatatizo hayo hayo na wanatakiwa kuwepo huko muhimbili.

Kila mtu anayewahutumu au kusema ukweli wao wanasema anamatatizo ya akili. Sijui ni mapolisi au mashahidi ndio wanaotakiwa kupimwa akili.
 
BADO HUJAPATWA NA TATIzO AMBalo UNAHITAJI MSAADA WA POLISI, KAMA NDO HIVYO RUHUSUNI KAZI zINA zo fanywa NA JEshi la POLIsI ZIFANYWE NA JWTz KAMA Hamta PIGA DOMO, NIMEGUNDUA MAENEO yaSIO sHAMIRI VITENDO VYA UHARIFU NDIO HaWaWaHitaji WaNa polisi

Huyo kichaa awe makini anaweza kuja kuangukiwa na kitu kizito chenye ncha kali!
 
Si muda mrefu utasikia wakisema taarifa za kiintelijensia zinaonesha kuwa huyo kichaa ni CHADEMA anayejihusisha na ugaidi!
Mkipiga kelele sana wakaona hawana hoja watampeleka mahakamani halafu watawaambia hatuwezi kuzungumzia jambo lililo mahakamani kwani itakuwa ni kuiingilia mahakama! Ya Ulimboka si ndivyo yalivyokuwa? Walipoona mambo mazito wakamtengeneza kichaa na kumpeleka mahakamani kisha wakasema jambo liko mahakamani hatuwezi kuliongelea.
 
Tanzania ni kila sehemu ni komedi tuu, kova alikamata kichaa na leo kichaa mwingine kalazwa muhimbili
 
Jeshi la polisi limeshapoteza credibility ya kulinda wananchi, kwa mara ya kwanza juzi wananchi wa Mtwara walikimbilia Hospitali ya Ligula kujiokoa badala ya kukimbilia polisi.
 
Back
Top Bottom