Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,169
- 56,669
huyu mlinzi nae kilaza tu,alitakiwa awe na line special kwenye cell phone special kwa ajili ya kutoa siri za Chadema tu,halafu hiyo cell phone alitakiwa aifiche na lazima yeye ambip kwanza Mangula halafu Mangula ndo ampigie.halafu ujinga wa kupanda gari lenye number,bora hata angekuwa anatumia bajaji halafu anapiga sungogoz,au anavaa hijabu kabisa ile ya kufunika pote na anakuwa kama demu.Nyie CCM Endeleeni kutafuta watu huko CHADEMA ili wawape siri za adui yenu,wanananunulika hao wana njaa,Maana Mbowe na Slaa wanajikopesha ruzuku peke yao tu