huyu jambazi sugu,mwizi wa magari, mnahangaika naye wa nn hakuna cha msalia mtume kwenye mauaji kama haya
Hao polisi wamevamia nyumbani kwa Lema wakiwa na mbwa 15, mabomu na bunduki za kila namna kwa lengo la kumkamata mbunge anayefahamika na aliyechaguliwa kwa kishindo na wananchi.
Ni juzi tu majambazi yameua mtu na kujeruhi watu kadhaa akiwemo askari polisi na kisha wakapora fedha zaidi ya milioni 58 hapo hapo Arusha tena mjini kabisa karibu na stendi ya vifodi.
Wakati tukio hilo linatokea la wizi na kujeruhiwa kwa askari polisi mmoja (traffic) askari polisi wengine waliokuwa wamejazana kwenye defender wakageuza gari na kutimua mbio.
Ni dhahiri kuwa hawa polisi ni wepesi sana kwa raia basi tu kwakuwa bado tunaipenda nchi yetu vinginevyo wasingeshindwa kukabiliana na jambazi mchana kweupe kisha kuvamia nyumba ya mbunge usiku wa manane huku wamejihami kama wako vitani.
Vita kapigane na ndugu zako
Wanançhi wa Arusha wamemchagua kuwaongoza, ukiachilia mbali mkuu wa mkoa ambaye yeye ameteuliwa....
Kama ni jambazi, akamatwe kwa ujambazi wake
Haiingi akilini, muuaji wa mwanachuo yuko huru,mbwa 15 zinashindwa kumsaka Njiro mnasaka mtu mnayemfahamu
Kama nilivyojisomea kwenye riwaya maarufu
'YANA MWISHO HAYA'
Yeah ,"War without bloodshed is Politics,Politics with bloodshed is War"
Mahitma Gandhi
huyu jambazi sugu,mwizi wa magari, mnahangaika naye wa nn hakuna cha msalia mtume kwenye mauaji kama haya
huyu jambazi sugu,mwizi wa magari, mnahangaika naye wa nn hakuna cha msalia mtume kwenye mauaji kama haya
huyu jambazi sugu,mwizi wa magari, mnahangaika naye wa nn hakuna cha msalia mtume kwenye mauaji kama haya
guilty until found innocent!!!! what goes around comes around m 23, you will one day remember this, I am hundred % sure. injustice and impunity principle is not selective
huyu jambazi sugu,mwizi wa magari, mnahangaika naye wa nn hakuna cha msalia mtume kwenye mauaji kama haya
huyu jambazi sugu,mwizi wa magari, mnahangaika naye wa nn hakuna cha msalia mtume kwenye mauaji kama haya
Kila siku huwa ninasema kwamba ukijifanya kufanya Kazi kama watu wanavyotaka,unaweza ukapoteza.
Lema alitakiwa ahojiwe,
Akasema atafutwe,...Polisi inaelewa Lema ni "jeuri ya Chama"(si kama tunavyotaka kuaminishana kwamba angejipeleka mwenyewe kama Kondoo)
Polisi wanajua Lema angekuwa "hapatikani kirahisi" wangeenda muda wa kawaida.
Polisi wanajua Lema ana "Wafuasi"na "Washabiki" kibaaaao....kwenda eneo analoishi,tena wakati tayari kuna msukosuko kama huo,ni "jeshi" poyoyo tu ndio litadhani litaweza kumchukua ki rahisi,hasa ukizingatia watu kama Lema wana e njoy advantages za Uheshimiwa,hasa kama ana makosa(ingekuwa ni mtu wa kawaida,wanakuja wanavunja tu ka mlango kako wakisha ku warn mara 2 tu!)
Ndio maana Walijua lazima Songombingo itakuwepo----SaSA ili kuzuia madhara,ni lazima Polisi wawe wengi,ili kutokusababisha matumizi ya "Vifaa visivyohitajika" katika kuongeza nguvu(Kumbukeni,Wale jamaa wa Boston bombings wamesakwa na Askari zaidi ya 20,000!...Yani mtu mbili zinasakwa na Watu 20000?----Sasa sitoshangaa mtu mmoja,ambaye you are sure ana wapambe kibao,ukamutafutia askari hata 10 tu).
Jeshi la Polisi nadhani lilifanya vema kwenda askari wengi...manake wangekuwa wachache,lazima wangeanza kutumia mabomu ama risasi(si mmesema watu walianza kujaa kwenye nyumba ya Lema?----na pia kwamba Lema alidhani wale ni majambazi?..teh teh...Siasa nzuri sana yani----unaweza ukajifanya "hamnazo",just kufanya ueleweke namna flani)