KIJIKI
Member
- Jan 14, 2012
- 17
- 1
Lakini pia ujue hata jengo ambalo linatumiak kwa huduma za hosptal ya bugando ni la serikali amabalo lilijengwa na serikali ya Israel chini ya Mzee wa kweli JULIUS K.NYERERE....Ambapo hata hili jengo halikuisha baada ya mwl kuwaona wa israel hawakuwa na nia njema na mradi huo wa hopspital nyerere akawafuzia mbali na kuamua kuanza huduma za hosptal kwa huata hyhyo ampapo liliki limefikia ambapo ndo hadi sasa hivi liko palepale