Taarifa juu ya tiba ya Babu

Katika wanadamu walioongea na Mungu ni mmoja tu! nae ni nabii Musa mitume wengine walikuwa wakiletewa wahyi/ujumbe kutia malaika gabriel/roho mtakatifu. Juu ya mapenzi yote aliyokuwa nayo Mungu kwa Yesu hakuwahi kuzungumza nae alimtumia roho mtakatifu kufikisha ujumbe babu ni nani amshinde hata Yesu? Someni vitabu vya imani zenu vizuri tatizo hatusomi maandiko ya Mungu ukizaliwa unaitwa Grace au Hassani basi unakuwa umeshakuwa mwislam/mkristo full stop. Hajasikia kutakuwa na ujio wa Dajal? atakuwa na uwezo wa kufufa na kufanya mvua inyeshe na atajiita yeye ni Mungu? Wale wenye kumwamini Mungu wa kweli hatatetereka na imani zao thabiti! Mungu atulinde na haya majaribu.............

'Nimeipenda' post yako coz ina-clear doubts!!!!!!!!!
 
conclusion imetulia mpendwa!

yaani wameona kwa miaka mingi waganga wamekuwa wakisema wanatibu kwa kutumia majini sasa wao wameamua kuwa wabunifu na kuja na kitu tofauti! lo.

Mungu atuhurumie watoto wake

Amina! wameona nguvu ya giza watu wanaenda kidogo na kwa kificho ndio maana wameamua kuwa wabunifu. Ubunifu ni moja ya njia za kuboresha biashara.
 
Nimekutana na huyu Mmasai naye anadai ni 'wakala' wa babu.
katumwa kuja Dar kugawa vikombe.
DSC00994.JPG
 
Tunataka ripoti ya kisayansi kuwa wagonjwa waliokuwa na ngoma +ve baada ya kunywa wameonesha -ve, sio hizo hadisi za kisisasa!

Mbona hauulizi dawa za malaria tunazobadilishiwa kila kukicha kuwa zinaponyesha na huku zimetengenezwa kisayansi!
 
Binafsi nadhani Mungu anakusudi na kila mwanadam,na akitanka kiumbe chake aendelee kuishi basi hilo halina mpinzani,ukisoma vitabu vingi vya dini wapo watu walioteshwa na wapo watu waliongea na Mungu,lkn pia si watu wooote tukinywa panadol tunapona hapana mtu mwingine ni mpaka atumie Hedex au dawa nyingine tofauti.
My take ni:Si wooote watakao enda kwa babu watapona kupona kunategemea Imani na hasa kusudi la Mungu ww kuendelea kuishi.
Babu hawezi kuzuia kifo,so kila mtu kwa wakati wake atakufa hata kama umekunywa dawa ya babu dakika 5 ilizopita.
Kuna watu amabao wako stages mbaya sana za ugonjwa amabo kurecover it will take time and mostly Gods mercy.
lkn zaidi ya yoooote hatulazimishwi kunywa kikombe.

Uko sasa kabisa! Tumeshuhudia wengi wanatumia dawa hii wanapona na wengine hali zao ni zile zile kama ilivyo mahospitalini, kuna wanaopona na wanaoshindikana. Kwa ujumla, yote haya ni maamuzi ya Mungu. Sitegemei kabis mtu wa makamu ya huyu babu kuanza kutunga uongo katika makamu haya kwa nia ya kupata nini hasa? Jamani tuogope Mungu kumsema vibaya huyu mtu wa watu ambaye anajitolea mchana kutwa kusaidia watu.
 
Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika Kijiji cha Samunge, Loliondo amewataka wagonjwa kuendelea kutumia dawa za hospitali hata baada ya kunywa dawa yake.Akizungumza kijijini hapo jana, Mchungaji Masapila alisema hakuna madhara kwa mgonjwa kuendelea na dawa zake za awali hata baada ya kunywa dawa yake na kwamba si vyema kuacha ghafla kutumia dawa hizo.“Hii dawa yangu inatibu, lakini haizuii kunywa nyingine, unaweza kunywa na ukiona umepona kabisa usiendelee kunywa dawa hizo,” alisema.

MWANANCHI.
Habari hii imeandikwa na Salim Mohamed, Neville Meena na Mussa Juma, Samunge.

Mi nikisema babu asimhusishe Mungu kwenye hizi habari naona niko sahihi kabisa.

asomae na afahamu,,,,ld wacha nirudi church nikafunuliwe,,,,
 
ha2katai wa2 kpona/kutopona. Ha2tak wanavyomuhucsha Mungu kwa nia ya kujpatia kpato cha haraka. Waseme wamegundua dawa na co Wameoteshwa na Mungu! Kla m2 akilala akiamka, ameoteshwa! Umenfurahsha et babu na uzee wte hawez kutapel! Tehe! Hv unacheza na pesa? Pesa haina cha kijana wla mzee ndg yng so hta babu baada ya kuhangaika ujana wte hajapta k2 ndo kabun ntoke vp yke! Ndo hvyo ss aksema kaongea na Mungu mtamiminka mpaka muuwane! Hakuna cha kuoteshwa wla nn, ye aseme vngne ntamkubalia.
Uko sasa kabisa! Tumeshuhudia wengi wanatumia dawa hii wanapona na wengine hali zao ni zile zile kama ilivyo mahospitalini, kuna wanaopona na wanaoshindikana. Kwa ujumla, yote haya ni maamuzi ya Mungu. Sitegemei kabis mtu wa makamu ya huyu babu kuanza kutunga uongo katika makamu haya kwa nia ya kupata nini hasa? Jamani tuogope Mungu kumsema vibaya huyu mtu wa watu ambaye anajitolea mchana kutwa kusaidia watu.
 
hahah, huyu mungu wake kiboko. nilisoma pia kuwa kaongeza na magonjwa yanayoweza kutibiwa zaidi ya yale matano ya awali. sasa anatibu mpaka nguvu za kiume na ugumba! nadhani atakuwa kaangalia hali halisi ya soko!

lakini serlikali nayo imezinduka, jana gazeti la mwananchi ilmesema serkali inakamilisha hatua za kumsajili kama mganga wa tiba za jadi

taratibu, yanadhihirika
Dah!!! hapo kwenye nyekundu kama nikweli amesema hivyo baaasi kwishneyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!
 
huu mti ni dawa kweli,ila tutambue kuwa babu wa loliondo amefanya Value Addition ili kutibu magonjwa mengi ya lifestyle diseases,via gods blessings
pia yeye babu amekiri kuwa tiba yake ni ya imani.
Kuna wakati fulani niliwahi kisikia kuhusu tiba inayotolewa kule Kenya ya huo mti wa Mtanda-mboo habari zilivuma kwelikweli kuwa tiba ya UKIMWI imepatikana lakini sijajua yaliishia wapi!


Magic herb’ is well known to Kenyan scientists
The ‘magic herb’ that has made thousands of people flock to remote Loliondo village in Tanzania was identified by Kenyan scientists four years ago as a cure for a drug-resistant strain of a sexually transmitted disease.
An expert on herbal medicine also said yesterday the herb is one of the most common traditional cures for many diseases. It is known as mtanda-mboo in Kiswahili and it has been used for the treatment of gonorrhoea among the Maasai, Samburu and Kikuyu.
The Kamba refer to it as mukawa or mutote and use it for chest pains, while the Nandi boil the leaves and bark to treat breast cancer, headache and chest pains.
Four years ago, local researchers turned to the plant for the treatment of a virus that causes herpes. Led by Dr Festus M Tolo of the Kenya Medical Research Institute (Kemri), the team from the University of Nairobi and the National Museums of Kenya found the herb could provide alternative remedy for herpes infections.
“An extract preparation from the roots of Carissa edulis, a medicinal plant locally growing in Kenya, has exhibited remarkable anti-herpes virus activity for both wild type and drug resistant strains,” they reported in the Journal of Ethnopharmacolo gy.
No negative effects
“The mortality rate for mice treated with extract was also significantly reduced by between 70 and 90 per cent as compared with the infected untreated mice that exhibited 100 per cent mortality.”
The researchers reported that the extract did not have any negative effects on the mice.
Mrs Grace Ngugi, head of economic ethnobotany at the National Museums of Kenya, said the plant was not poisonous as feared earlier.
Further studies have shown the plant to contain ingredients that make it a good diuretic. Diuretics are drugs used to increase the frequency of urination to remove excess fluid in the body, a condition that comes with medical conditions such as congestive heart failure, liver and kidney disease.
Some diuretics are also used for the treatment of high blood pressure. These drugs act on the kidneys to increase urine output, reducing the amount of fluid in the blood, which in turn lowers blood pressure.
A study at the Addis Ababa University in Ethiopia found the herb was a powerful diuretic. It is found in many parts of the country and is used to treat headache, rheumatism, gonorrhoea, syphilis and rabies, among other diseases.
The Ethiopians tested its potency on mice and found it increased the frequency of urination. This was more so when an extract from the bark of the root was used.
“These findings support the traditional use of Carissa spp. as a diuretic agent,” write the researchers in the Journal of Alternative Medicine.
The Kemri study also isolated other compounds from the herb, including oleuropein, an immune booster, and lupeol. Lupeol, according to researchers from the University of Wisconsin, US, was found to act against cancerous cells in mice.
“We showed that lupeol possesses antitumor-promoting effects in a mouse and should be evaluated further,” wrote Dr Mohammad Saleem , a dermatologist.
Mrs Ngugi said the herb was one of the most prevalent traditional cures and herbalists harvest roots, barks and even the fruits to make concoctions for many diseases.
“Among the Mbeere and Tharaka people where the fruit is called ngawa, the plant is used for the treatment of malaria. The fruits, when ripe, are eaten by both children and adults,” she said.
 
na aanze kwnda ku2bu mapema kbl Mungu wa kwel hajamshushia Gharika kuu! Kaul tata zote!

Na taratibu Mungu ameanza kumreveal, hana ujanja huyu siku zake zinahesabika. Wewe fanya uganga wako wa kienyeji achana na kudanganya watu kuwa ni Mungu, unaongeza hasira zake.

Hata watu ambao pengine wangepona kama wangekua makwao wameenda kufia maporini Loliondo. Loliondo kwa babu ni gateway ya kwenda kuzimu.
 
Na taratibu Mungu ameanza kumreveal, hana ujanja huyu siku zake zinahesabika. Wewe fanya uganga wako wa kienyeji achana na kudanganya watu kuwa ni Mungu, unaongeza hasira zake.

Hata watu ambao pengine wangepona kama wangekua makwao wameenda kufia maporini Loliondo. Loliondo kwa babu ni gateway ya kwenda kuzimu.

Mungu hamfichi mnafiki "babu" hana muda mrefu watu watajua ni mjasiariamali kama wajasiriamali wengine ambae ameweza kulitumia jina la Mungu kujineemesha kwa kutumia ndugu zetu wanaotaabika na magonjwa mbalimbali. Nasema haya kwakuwa "babu" anachanganya kwa jinsi navyozungumzia mazungumzo yake na "Mungu" yaani kama vile mazungumzo ya mtu na mshikaji wake eti


Hili eneo linakuwa finyu sasa kutokana na wingi wa watu wanaofika kupata tiba. Lazima tuhame na Mungu ameshanionyesha eneo ambalo huduma hii itahamia, ila nasubiri tangazo lake kujua ni lini nitahama

"Hapo kale wenyeji wa eneo hili hawakuwa na utamaduni wa kufanya maziko ya wafu, hivyo watu walipokufa walitupwa kwenye bonde hili," alisema.

Akijibu swali kwamba ni nini maoni yake kuhusu tiba hiyo kuhamishiwa eneo la wafu, Mchungaji Masapila alijibu kwa kifupi akisema; "Lilikuwa ni eneo la wafu, lakini Mungu anataka sasa pawe ni mahali pa ufufuo.
 
good report about the plant

tunachohitaji ni impact ya tiba kama hizi kwenye health system and social-economic impact as well
 
Back
Top Bottom