Wewe ni MJINGA.Ufe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Wewe ni MJINGA.Ufe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Wewe hizo akili zako zimekufikisha wapi?Dunia ingekuwa na akili kama zako sijui tungekuwa wapi aiseee
Ukifatilia sana mambo yanayozungumzwa humu na mitandao mingine unaweza hisi kuna bonge la vita out there, na kwamba upinzani wanchukua dola kumbe chenga tu. Mzee we tulia fata taratibu zilizowekwa.Humu JF wakati mwingine alo. Mie niko mjini magharibi mbona hakuna hizo habari
Mkuu huo ni uwongo usiamini
Zanzibar 2020 - Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar
Chama cha ACT Wazalendo kimetoa taarifa ya yanayoendelea Pemba, taarifa hiyo imeandaliwa na Maalim Seif na kutolewa kwa Umma ======= Taarifa zilizothibitishwa kutoka Pemba zinasema wananchi watatu wameuawa kwa silaha za moto na Jeshi la Polisi kuelekea mwanzo wa upigaji kura siku ya kesho...www.jamiiforums.com
Calm down Maalim wang inshallah M/Mungu atalipia hiyoSiwezi kutukana usinikoti! Nitakacho kiandika kitashtua wengi sana! Usinikoti! Na nitafungiwa JF
Mlishaambiwa hili ni jini nyonya damu sasa unashangaa nini?Jamaani hii sasa nini
Sasa Kwanini uue kwa ajili ya kuwa Mbunge? Yaani kuwa Rais lazima uue watu?Ufe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Kumbe baba yake Mungu amemuweka hai ili ashuhudie damu atakayomwaga mwanae!Hussein Mwinyi unataka kuingia Ikulu ya Zanzibar kwa kupandia njia zilizojaa maiti za Wazanzibari?
Waafrika tuna shida Bora Wazungu wamestaarabika.Kitendo Cha watu kuuawa unaweza kuta hamna mtu anakemea.#ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter
Sasa Kwanini uue kwa ajili ya kuwa Mbunge? Yaani kuwa Rais lazima uue watu?
Leo maaskofu na masheike matako wote kimyaWaafrika tuna shida Bora Wazungu wamestaarabika.Kitendo Cha watu kuuawa unaweza kuta hamna mtu anakemea.