Jumannnne
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 667
- 2,001
Kumbe wewe ni mbiinafsi kiasi hikiUfe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Kumbe wewe ni mbiinafsi kiasi hikiUfe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Na nyie kwanini muuwe Watu?Ufe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Na nyie kwanini muuwe Watu?
Kwa ajiii ya siasa tu?
Mungu ibariki Zanzibar
Sasa wapuuzi wanaua watu kulazimisha MTALII awe Rais? Sasa yatosha sasa basi kadri mnavyozidi kunyanyasa watu ndio mnazidi kuwapandisha mizuka wazanzibar.
kumbe ww ni mbiinafsi kiasi hiki
Fake News Yaani Askali Police akute MTU kibarazani amuuwe khaa huu in uwongoo isije kuwa ACT mshaanzaa kuuwana mharibua Utulivu Wa uchaguzi
Upo kijijini wapi wakati upo ofisi za CCM umezungukwa na computer nne hapo unacheza na ID tofauti tofauti kucomment ujinga wa CCM!
Huyu Dikteta amevuruga kabisa umoja wetu.Unaandika nini sijaelewa
Nani kasema anaandamana?Unaandamana ukiwa wapi?
Jamani twitter kwenu inafanya kazi.??
Naona kwangu ni mauza uza tu... Video iachez wala picha haionyeshi..
Naona hata ku update inakataa
Nani kasema anaandamana?
Sisi waislam tunasema wamekufa mashahidi.Wamekufa kishujaa na daima watakumbukwa. Wapumzike kwa amani.
Ili iweje... yeye ndie aliepandisha mbegu hizi! haya yote chanzo ni yeye... kwanini hakuhakikisha katiba ya vyama vingi?Aiseeeh Mwalimu fufuka hata kwa sekunde moja....