Syria yadai kuzuia makombora ya Israel

Israel huwa haitoi matangazo wao ni actions tu.. Habari wanaleta Arabs so unaongea kinyume nyume mkuu.

Habari zinazoendelea ni kuwa kuna maghala ya silaha na ndege ya Iran na makao yao makuu yameteketezwa kabisa na Syria imetungua missile nne tu bila uhakika.na shambulio limekuja baada ya ndege ya Iran kutua
jamani hayo makombora ya s300,siyo paper work,ni halisi,israel hawezi hatarisha ndege zake za thamani kama f35 au f22,eti akajaribu,mambo ya ,,stealth,,hiyo ni paper work,bado hawajaprove kwa kuzirushia kombora kama s400 alafu,lisifaulu,,kama ni kushambulia,israel atakuwa anakaa anga ya palestina au lebanon ndio ndege zirushe makombora syria,siyo ziingie anga la syria kama zamani...
 
Kwa Mara ya Kwanza tokea Syria ipate S-300 air defense Leo Israel warijaribu kutest maji kwa mguu mmoja kwa kushambulia eneo fulani uko Syria bila mafanikio yoyote kwa maana all missiles fired by IDF were intercepted by Syria air defence with success of 100%....Aya ni mafanikio makubwa kwan makombora yote yalitunguliwa na Israel haikuweza kurusha ndege zake ktk anga ya Syria zaidi walifanya hivyo wakiwa Ktk anga ya Palestine na baadhi ya makombora yalikua surface to surface missile yani kombora linalorushwa tokea chini.....Baada ya makombora ayo kudakwa Syria nao walifyatua kombora moja kuelekea kwenye source ambapo watu walisikia mshindo mkubwa na umeme kukatika upande wa Golan height wa Israel na inasemekana ndege moja ya Israel ilidunguliwa japo Israel wanakana wengine wanasema km sio fighter jet basi ni drone kubwa tu...Hii maana yake ni nini? Hivi sasa Israel anapata shida sana kuishambulia Syria kwamaana hawez peleka jets zake karibia na anga ya Syria hivyo kupelekea kutofikiwa targets za mashambulizi na kupelekea Syria kujiandaa vyema km Israel itakua inashambulia kwa mbali.Pili tumeona Syria nao wanaanza kushambulia ikumbukwe Syria nao wana Surface to Surface missile hivyo lolote linaweza kutokea.....
Habari njema sana hii.
 
Israel huwa haitoi matangazo wao ni actions tu.. Habari wanaleta Arabs so unaongea kinyume nyume mkuu.

Habari zinazoendelea ni kuwa kuna maghala ya silaha na ndege ya Iran na makao yao makuu yameteketezwa kabisa na Syria imetungua missile nne tu bila uhakika.na shambulio limekuja baada ya ndege ya Iran kutua
Prove, toa link ili kuamini taarifa yako.
 
Kwa Mara ya Kwanza tokea Syria ipate S-300 air defense Leo Israel warijaribu kutest maji kwa mguu mmoja kwa kushambulia eneo fulani uko Syria bila mafanikio yoyote kwa maana all missiles fired by IDF were intercepted by Syria air defence with success of 100%....Aya ni mafanikio makubwa kwan makombora yote yalitunguliwa na Israel haikuweza kurusha ndege zake ktk anga ya Syria zaidi walifanya hivyo wakiwa Ktk anga ya Palestine na baadhi ya makombora yalikua surface to surface missile yani kombora linalorushwa tokea chini.....Baada ya makombora ayo kudakwa Syria nao walifyatua kombora moja kuelekea kwenye source ambapo watu walisikia mshindo mkubwa na umeme kukatika upande wa Golan height wa Israel na inasemekana ndege moja ya Israel ilidunguliwa japo Israel wanakana wengine wanasema km sio fighter jet basi ni drone kubwa tu...Hii maana yake ni nini? Hivi sasa Israel anapata shida sana kuishambulia Syria kwamaana hawez peleka jets zake karibia na anga ya Syria hivyo kupelekea kutofikiwa targets za mashambulizi na kupelekea Syria kujiandaa vyema km Israel itakua inashambulia kwa mbali.Pili tumeona Syria nao wanaanza kushambulia ikumbukwe Syria nao wana Surface to Surface missile hivyo lolote linaweza kutokea.....
habar hii kuna watu ndio wanaitaka lkn mm nangoja nato warushe risasi kuelekea urusi ili nishuudie kiev ikichukuliwa
 
Israel wakipiga target wanapayuka kwa sifa nyingi, wakitandikwa kama hivi wanakanusha vikali

Bila shaka Israel amechapwa hapa ndo maana anakanusha.
Nb: sina ugomvi na Waebrania weusi
Acha uongo lete habari yeyote Israel aliyosema kwa kujisifia zaidi ya habari zote huletwa na vyombo vya habari vya kiarabu... Sheria za Jeshi la Israel ni kukaa kimya tu na Dunia Nzima inatambua hilo...
 
Acha uongo lete habari yeyote Israel aliyosema kwa kujisifia zaidi ya habari zote huletwa na vyombo vya habari vya kiarabu... Sheria za Jeshi la Israel ni kukaa kimya tu na Dunia Nzima inatambua hilo...
kama hujui hayo basi sina haja ya kuleta data hapa, lala salama
 
Afadhali sasa Assad anaweza kukomboa maeneo yote yanayoshikiliwa na waasi (Isipokuwa sehemu yaliyopo majeshi ya Marekani) huko Syria bila hofu ya kuhujumiwa na Tel aviv.
 
Back
Top Bottom