Leo hii serikali inayumba yumba kuanzisha vyuo vikuuu. Nasikia mipango ilikuwa kila mkoa uwe na chuo kikuu chake. Sasa ni miaka 50 ishapita na hakuna kitu.
Chuo hiki kimetoa magwiji kibao mika hiyo siku hizi wameishia kutoa akina NAPE & WAPUKI na wazugaji wengine tulionao serikalini.
Sasa cha kujiuliza waliwezaje na walipata wapi pesa za kuanzisha UD miaka hiyo ambayo serikali ilikuwa haina pesa halafu washindwe leo ambako wana vyanzo kedekede kuanzisha vyuo mikoa yote Tanzania?
Au pesa zilitoka nje ya nchi? Maana tunaambiwa kuwa tulianza kuomba misaada toka zamani
Waliosoma au kupitia Mlimani hebu tupeni undani zaidi.
Chuo hiki kimetoa magwiji kibao mika hiyo siku hizi wameishia kutoa akina NAPE & WAPUKI na wazugaji wengine tulionao serikalini.
Sasa cha kujiuliza waliwezaje na walipata wapi pesa za kuanzisha UD miaka hiyo ambayo serikali ilikuwa haina pesa halafu washindwe leo ambako wana vyanzo kedekede kuanzisha vyuo mikoa yote Tanzania?
Au pesa zilitoka nje ya nchi? Maana tunaambiwa kuwa tulianza kuomba misaada toka zamani
Waliosoma au kupitia Mlimani hebu tupeni undani zaidi.