Matunda ya miaka hamsin ni matunda gani hayo embe boribo au, matango pori! Kimsing matunda nI
Ni usemi tu kama unavyoweza kusema nyumba nzuri niliyojenga ni matunda ya. Kazi ninayo famya. LKin nyumba siyo matunda kama ma pera au machungwa siku moja ukatengeneza juice. Na badala yake huo mfano wa matunda hauna maana zaid ya kufanya commed tu watu wamafueahi.
Hayafai hata kumpa mgonjwa maana ataweza kufa kwa hayo matunda. Matunda yapo ila wanayatumia wachache. Utaambulia makapi ya hayo matunda ambayo huwezi kupata juice labda ulambe tuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.