Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
ndo nimemalza form foo.
Kwanini uliandika 'verse' kwenye pepa?
ndo nimemalza form foo.
Ivi,let say kwamba una wapenzi wawili ambao hawajuani,then siku ya siku wote wanakuomba ukutane nao muda mmoja katka sehemu moja.utafanyaje?
... muda mmoja katka sehemu moja...
Ndo amepata amtokeo ya f4 juzi tu. Unataka kunambia ni yule aloshusha mistari ama!Ndio mambo ya wanaume kujadili haya. Mtoa mada uko form ngapi?
Ivi,let say kwamba una wapenzi wawili ambao hawajuani,then siku ya siku wote wanakuomba ukutane nao muda mmoja katka sehemu moja.utafanyaje?
ndo nimemalza form foo.
Nachagua anae noga mwingine unampiga kalenda na location unahama