Swali gumu aliloulizwa Rais Samia nchini Marekani

Mzungu anakuuliza kile kitu anachojua huwezi kujibu, na ukijibu ni ili mradi tu
 
Kule vijijini kuna watoto wengi wanaliza darasa la saba hawahui kusoma wala kuandika. Taifa la watu wasiojua kusoma ni janga
Vjijini..?

Unasema hivyo kwa sababu uko kijijini mkuu?

Mijini wasiojua kusoma na kuandika huwenda ndio wengi kuliko wa vijijini!

Hivi unajua pia watoto wenye uwezo Mkubwa zaidi ni wale watoto waishio vijijini?
 
Vjijini..?

Unasema hivyo kwa sababu uko kijijini mkuu?

Mijini wasiojua kusoma na kuandika huwenda ndio wengi kuliko wa vijijini!

Hivi unajua pia watoto wenye uwezo Mkubwa zaidi ni wale watoto waishio vijijini?
Shule za vijijini hazina walimu, kwasababu hakuna miundombinu wadada na wakaka wazuri wanapenda kufundisha shule za mijini.

Unampeleka sister do kijiji hakina maji, umeme wala barabara. Nyumba ya kupanga ni ya mwenyekiti wa kijiji nayo ni ya nyasi. Shule nzima ya wanafunzi 2,000 ina walimu wanne.

Kutatua hili tatizo ni kheri wahimize watoto wanaotoka kijiji kile kila mwaka kuwe na anaekwenda kusomea afya na Elimu.
 
Vyuo vyote vikubwa duniani kama Havard na the likes huwezi kuta wanachukua GPA ndogo kama ya 3.4 na the likes...hata walimu wako wa chuo wana GPA kubwa ndio maana tumewaamini.


Hata wachungaji wako kanisani unaowahusudu wamefundishwa na GPA kubwa.
Wachungaji hawa hawa akina nabii Shilla?
 
Kufundisha siyo kufanya biashara. Unalinganisha mapapai na malimao.
GPA siyo issue, je anaenda ku-deliver nini? Kibatala hana ufaulu wa juu ni wa kawaida sn darasani lakini Tanzania nzima huwezi kutaja mawakili bora na wazuri watatu ukamuacha yeye, hakuna mtu mwenye ufaulu mkubwa kama Lipumba tena mchumi lakini hana hata kibanda cha nyanya zaidi ya uchumi wa kwenye makaratasi tupu.
 
Kufundisha siyo kufanya biashara. Unalinganisha mapapai na malimao.
Kufundisha kitu gani kama wewe mwenyewe huonyeshi mfano, unajiita Afisa Kilimo lakini huna hata bustani utanifundisha kitu gani nielewe zaidi ya makaratasi? matajiri wote wamesoma nje kwenye shule za biashara kweli na siyo haya maigizo yenu( MO, Manji, Mengi, Rostam, GSM n.k) hakuna aliyesoma university of Dar es salaam hata mmoja
 
Ajabu lingine unakuta huyo mwenye GPA ya 2.1 kwenye utendaji ndio bora kuliko huyo mwenye GPA ya 4.6 hayo ndio maajabu ya elimu yetu.
 
Kwani kwa akili yako ndogo unafikiri kutokusoma UD kunaonyesha nini? Hawakusoma UD kwa sababu wazazi wao wana hela za kuwasomesha nje. Tupo ambao tumesoma Harvard lakini siyo matajiri. Usifanye conclusion "pori".
Kufundisha kitu gani kama wewe mwenyewe huonyeshi mfano, unajiita Afisa Kilimo lakini huna hata bustani utanifundisha kitu gani nielewe zaidi ya makaratasi? matajiri wote wamesoma nje kwenye shule za biashara kweli na siyo haya maigizo yenu( MO, Manji, Mengi, Rostam, GSM n.k) hakuna aliyesoma university of Dar es salaam hata mmoja
 
Kule vijijini kuna watoto wengi wanaliza darasa la saba hawahui kusoma wala kuandika. Taifa la watu wasiojua kusoma ni janga
Uko sahihi kabisa ,Mimi nilikua najiuliza kwann mwanafunz anafika darasa la Saba hajui kusoma na kuandika nikaona haya ni maajabu ikabid niingie chimbo kujua shida ni nini.

Nilichogundua shule nyingi za serikali hasa primary ,wale walimu wanaofundisha awali had la pili ni weupe Sana vichwan mwao japo sio wote ,nikachimba baadhi ya vyeti vyao unakuta mwalimu alipata division ya point 30 akaenda somea ualimu na anakula maisha kirain tu.

So wengi hawana ujuzi na mbinu za ufundishaji ,yaan mwalimu anakopy kila kitu toka kwenye kitabu hata kujiongeza nje ya kitabu hakuna ,zana za ufundishaji hakuna kabisa ,Sasa mtoto ni vigumu Sana kujua kusoma na kuandika .

Pia tatizo lingine niligundua asilimia kubwa walimu ndio hufanya mitihani ya watoto hasa ile ya mchujo hii tabia ipo primary Sana .unakuta walimu wahangaika kutoa majibu ili shule yao ionekane imefaulu vzr ,so watoto wao hukaa tu na kunakil majibu ubaoni ,kwa tabia hii unategemea mtoto atahangaika kujisomea?

Majabu mengine niliyowahi kuyaona mtoto anaenda form one ila hajui hata kuandika jina lake ,hii ndio Tanzania ya ajabu kuwahi ishuhudia maishan mwangu.
 
Uko sahihi kabisa ,Mimi nilikua najiuliza kwann mwanafunz anafika darasa la Saba hajui kusoma na kuandika nikaona haya ni maajabu ikabid niingie chimbo kujua shida ni nini.

Nilichogundua shule nyingi za serikali hasa primary ,wale walimu wanaofundisha awali had la pili ni weupe Sana vichwan mwao japo sio wote ,nikachimba baadhi ya vyeti vyao unakuta mwalimu alipata division ya point 30 akaenda somea ualimu na anakula maisha kirain tu.

So wengi hawana ujuzi na mbinu za ufundishaji ,yaan mwalimu anakopy kila kitu toka kwenye kitabu hata kujiongeza nje ya kitabu hakuna ,zana za ufundishaji hakuna kabisa ,Sasa mtoto ni vigumu Sana kujua kusoma na kuandika .

Pia tatizo lingine niligundua asilimia kubwa walimu ndio hufanya mitihani ya watoto hasa ile ya mchujo hii tabia ipo primary Sana .unakuta walimu wahangaika kutoa majibu ili shule yao ionekane imefaulu vzr ,so watoto wao hukaa tu na kunakil majibu ubaoni ,kwa tabia hii unategemea mtoto atahangaika kujisomea?

Majabu mengine niliyowahi kuyaona mtoto anaenda form one ila hajui hata kuandika jina lake ,hii ndio Tanzania ya ajabu kuwahi ishuhudia maishan mwangu.
Ajabu ni kuwa amefaulu kwenda shule ya serikali
 
Nimefuatlia interview kadhaa anazofanya Rais wetu wa KIKATIBA nimegundua wazungu wanatudharau sana!

Kwanza mama Samia kaanza kwa kusema amefanya makubwa sana ikiwemo kutoa ajira kwa sekta ya ualimu na afya (Nikagundua kumbe ajira za hivi karibuni zimetolewa kwa sababu maalum ya kufanya anachoongea kieleweke).

Mzungu (host wa kipindi) kwa kuzingatia majibu anayotoa mama akaona ampachike mama swali gumu sana.

"SAWA AJIRA MNATOA JE MNAZINGATIA UBORA WA WALIMU"

Hili swali linafikirisha sana, kuna mambo nimeyaelewa kupitia hili swali:

1. Kulingana na majibu anayotoa mama kwenye interview anazofanya...imeonekana shida sio mama bali shida bali ni elimu na shida sio elimu bali ni quality of teachers.

2. Viongozi wetu wanaonekana weupe kwa sababu ya elimu yetu. Plato aliwahi kusema nakuu: "Watu wanaopaswa kuchukua madaraka ya kuongoza wengine ni wale wenye akili (IQ) kubwa."

Nchi za wenzetu wanazingatia sana quality of education maana ndio msingi wa maendeleo .

3. Kwetu ajira za afya na ualimu wanazingatia umri, mwaka wa kumaliza n.k. Wanasahau Quality ya labour.

Unakuta mbaba wa miaka 30 mwenye GPA ya 2.1 anachukuliwa kufundisha watoto wetu...

Kijana wa miaka 20 mwenye GPA ya 4.6 anaachwa eti kisa kamaliza 2021 ?

Tuacheni siasa kwenye elimu tutaendelea kionekana weupe kichwani mkatudhalilisha sie wenye CV zetu huko ughaibuni.
Ubora wa walimu, madaktari nk, kwa mfumo wa elimu uliopo hapa nchini, hawawezi kupimwa kwa kiwango cha ufaulu wa GPA.
Katika vyuo vingi, mitaala iliyopo haikidhi mahitaji ya wahusika.
Kwa mfano utakuta mwanchuo anaesomea ualimu, anasoma kozi nyingi ambazo hazihusiani moja kwa moja na ufundishaji na ujifunzaji. Mwanachuo anatumia muda mwingi kukariri mawazo ya wanafalsafa badala ya kufundishwa mbinu za ufundishaji.
Matokeo yake mwanachuo huyo atafaulu kwa GPA ya juu, lakini haina tija yoyote kwa fani husika!
 
Nimefuatlia interview kadhaa anazofanya Rais wetu wa KIKATIBA nimegundua wazungu wanatudharau sana!

Kwanza mama Samia kaanza kwa kusema amefanya makubwa sana ikiwemo kutoa ajira kwa sekta ya ualimu na afya (Nikagundua kumbe ajira za hivi karibuni zimetolewa kwa sababu maalum ya kufanya anachoongea kieleweke).

Mzungu (host wa kipindi) kwa kuzingatia majibu anayotoa mama akaona ampachike mama swali gumu sana.

"SAWA AJIRA MNATOA JE MNAZINGATIA UBORA WA WALIMU"

Hili swali linafikirisha sana, kuna mambo nimeyaelewa kupitia hili swali:

1. Kulingana na majibu anayotoa mama kwenye interview anazofanya...imeonekana shida sio mama bali shida bali ni elimu na shida sio elimu bali ni quality of teachers.

2. Viongozi wetu wanaonekana weupe kwa sababu ya elimu yetu. Plato aliwahi kusema nakuu: "Watu wanaopaswa kuchukua madaraka ya kuongoza wengine ni wale wenye akili (IQ) kubwa."

Nchi za wenzetu wanazingatia sana quality of education maana ndio msingi wa maendeleo .

3. Kwetu ajira za afya na ualimu wanazingatia umri, mwaka wa kumaliza n.k. Wanasahau Quality ya labour.

Unakuta mbaba wa miaka 30 mwenye GPA ya 2.1 anachukuliwa kufundisha watoto wetu...

Kijana wa miaka 20 mwenye GPA ya 4.6 anaachwa eti kisa kamaliza 2021 ?

Tuacheni siasa kwenye elimu tutaendelea kionekana weupe kichwani mkatudhalilisha sie wenye CV zetu huko ughaibuni.
Ongeza undg
 
Julius Nyerere alikuwa na GPA ndogo kuliko wote Darasani mwake.

Vyuo vyote vikubwa duniani kama Havard na the likes huwezi kuta wanachukua GPA ndogo kama ya 3.4 na the likes...hata walimu wako wa chuo wana GPA kubwa ndio maana tumewaamini.


Hata wachungaji wako kanisani unaowahusudu wamefundishwa na GPA kubwa.
 
kwahiyo huyo mzungu amehoji ubora wa walimu kwa kuangalia akili za mama hangaya
 
Unamchukua huyo mwenye GPA YA 4.6 kumbe alikua Anadanga Chuo akawa anabebwa na Ma-Lecturer mkuu kuna kitu sio kinatakiwa kuangaliwa sio GPA
 
Vyuo vyote vikubwa duniani kama Havard na the likes huwezi kuta wanachukua GPA ndogo kama ya 3.4 na the likes...hata walimu wako wa chuo wana GPA kubwa ndio maana tumewaamini.


Hata wachungaji wako kanisani unaowahusudu wamefundishwa na GPA kubwa.
Nadhani wewe akili yako ipo kwenye kufundisha tu,kwenye taaluma kama sheria GPA yako is irrelevant bali uwezo wa ku-demonstrate skill ulizo-gain ndio cha msingi.Kwa mfano:Ukienda kufanya submission mahakamani ukipigwa pingamizi(objection) unatakiwa upambane,lkn huwezi kumwambia Judge achukue hoja yako kwa sababu wewe ni Professor au ni Mtu mwenye GPA Kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom