Supu day ya Yanga ni kafara linatolewa baada ya kuifunga Simba 5-0 ni masharti ya mganga wao

iyokichiku

Member
Oct 30, 2023
36
70
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka chanzo kinachoaminika kwamba SUPU DAY ya leo ni ukamilishaji wa maelekezo ya mganga wa yanga ambapo baada ya ushindi wanatekeleza maagizo hayo kwa jina la SUPU DAY.
Chonde chonde wanasimba msishiriki kwenye upuuzi huo.
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka chanzo kinachoaminika kwamba SUPU DAY ya leo ni ukamilishaji wa maelekezo ya mganga wa yanga ambapo baada ya ushindi wanatekeleza maagizo hayo kwa jina la SUPU DAY.
Chonde chonde wanasimba msishiriki kwenye upuuzi huo.
 
Na chapati tano wenzio wameshakula
 

Attachments

  • IMG-20231112-WA0007.jpg
    IMG-20231112-WA0007.jpg
    111.7 KB · Views: 2
Aliyezitangaza hizo ng'ombe ni tahira wenu Bashite basi nae ni sehem ya kafara?.
 
Hizi ni habari za uhakika kabisa kutoka chanzo kinachoaminika kwamba SUPU DAY ya leo ni ukamilishaji wa maelekezo ya mganga wa yanga ambapo baada ya ushindi wanatekeleza maagizo hayo kwa jina la SUPU DAY.
Chonde chonde wanasimba msishiriki kwenye upuuzi huo.
Siyo kweli aliyetoa hao ng'ombe wa tano ni Makonda, (ni shabiki wa simba) hata simba wana ng'ombe mmoja
 
Back
Top Bottom