findu fiki
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 431
- 67
Mfa maji hakosi kutapatapasumaye mnafiki leo ndio anatambua CCM wanatumia fomesheni ya BMW=Baba+mama/vimada+watoto
kuna msemo wa waswahili kuwa Nyani haoni kundule!
Mfa maji hakosi kutapatapasumaye mnafiki leo ndio anatambua CCM wanatumia fomesheni ya BMW=Baba+mama/vimada+watoto
kuna msemo wa waswahili kuwa Nyani haoni kundule!
Kwanza huyu Sumaye amebebwa sana hakustahili ile nafasi ya uwaziri mkuu, waliombeba wametulia yeye anajaribu kusimama kwa miguu yake. Ndani ya moyo wake anayajua haya na ndio maana alienda shule Marekani labda angeweza kujipatia sifa lakini wapi imeshindikana.
Nampa mtihani akiuweza nitamfikiria "Akemee watoto wa vigogo waliopo benki kuu kama kweli amejirudi kuwa mzalendo".
Not too late bana,kwani mtu akigundua kuwa alikuwa anapaswa kufanya kitu fulani tangu jana lakini anakifanya leo na ni baada ya kugundua kosa hiyo ni too late!!?
Kuchelewa kupo kwenye uhai tu kwani ndio ambao hauwezi kurudishwa
inamana leo ndio kajua au ni wivu tu.angeshinda? angesema?
sumaye, you are the part of the problem