Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,470
Uko sahihi, lakini uko kwenye extreme end. Sukali ni muhimu sana kwa mwili wa binaadamu tatizo ni sukali zinazozalishwa viwandani
Interesting...
Sukari NO
Chumvi NO
Mafuta NO
Wanga NO
Pombe NO
Sasa tule nini wadau?
Lakini ya kufaidi nini usipofurahia vitamu duniani? Tule ila mwili upate mazoezi....
Imagine kungekua na statements kama marehemu alipofariki alikuwa na kila kitu kizima ini moyo pafu hvyo mbinguni atapokelewa na shangwe.....
Hebu tufurahie maisha we will all die...
Ugonjwa wa moyo wa siku hizi unazishwa na matatizo ya kimaisha mfano mawazo ya kukosa fedha/mahitaji muhimu,kushinikizwa kufanya mambo kazini n.kUkichagua sana vyakula unakuwa unaishi kwa hofu, na hii ndo mbaya zaidi....maana kuna magonjwa kibao yanayosababishwa na kuwa na hofu.
Acha uvivu wa kusoma, unauliza alichokieleza!je vipi kuhusu ulaji wa asali?
nimemsikia kwa mbali jana mitaa ya nkuhungu halafu kama anatumia lafudhi ya watu fulani hivi ili kuwaaminisha watu wengi.Mama wa Kisabato naona ndio anatrend hizi siku ngapi na masomo yake ya afya huko Dodoma. Ila hata Dkt Ndodi alitulisha sana matango poli na kuwakandia wenye vitambi ila nasikia nae siku hizi ni tukunyema kitambi hicho. Wewe kula bhana hata mavegan wanaumwa kansa ila hawajui wameipataje ingawa wameacha kula vyakula nyama na vyakula wanavohisi vina chemical mbaya, wanasema dunia ni ya ajabu utachagua kula hiki sababu una nafasi ya kuchagua kuna watu wanaishi sehemu ambazo hawana option ya vyakula so ishi unavoweza aiseee
Mimi navyofahamu kuna muda mwili unakupa taarifa ya kuhitaji aina fulani ya chakula tatizo ni pale unapokula kupita kiasi na kuacha mazoezi au kufanya kazi itayopelekea utumikaji wa nishati na virutubisho ulivyopata.Dr.Ndodi aliwashika watu na ugali wa dona mwaka huu TFDA nao wametoa tangazo la madhara ya ugali wa dona kwa hiyo mimi wote siwasikikizi kabisaa maana mmevamia hadi kwenye matunda na miwa?
hahahaa nilimskia yule, eti maji yanaosha madini mwilini hivyo haitakiwi kunywa mengihawa huwaga ni wapiga ramli tu kama wapiga ramli wengine
Kuna mmoja anashauri watu wasinywe maji mengi ni vibaya na yanasababisha damu kuwa nyepesi
Hakuna kitu kisicho na madhara iwapo kitatumiwa kwa viwango vikubwa kuliko kawaida.
Kwa hiyo ukiwa na hamu ya kurudia kutumia kitu ulichokitumia, hicho kitu kinaingia kwenye kundi la madawa ya kulevya?KWA NINI SUKARI NI MADAWA YA KULEVYA YALIYOHALALISHWA.
Hivyo unapotumia sukari, ubongo unazalisha dopamine, ambayo inakufanya ujisikie vizuri na upate utamu wa sukari. Lakini baada ya hapo unasukumwa kutumia tena sukari ili upate utamu zaidi na kujisikia vizuri zaidi.
wewe unashauri wale nyama ya ng'ombe kwa wingi, wengine wametuambia nyama nyekundu hazifai kabisa tule samaki na kuku, hamuoni kuwa mnapiga ramli mchana kweupee!Ndani ya majani ngombe anapata kila kirutubisho anachohitaji, kwa sababu mwili wake unazalisha kemikali zinazoweza kuvunja majani hayo.
Lakini sisi binadamu hatuna kemikali hizo, ndiyo maana ukila mboga za majani kwa wingi, choo yako inakuwa kijani, sehemu kubwa ya mboga zinatoka kama zilivyo, mwili hauzivunji.
Lakini sasa ukachagua kula nyamba ya ng'ombe pekee, ng'ombe ambaye amekula nyasi pekee, ukala pamoja na mafuta yake, unapata virutubisho vyote ambavyo ng'ombe amevipata kwenye majani. Na hapo utakuwa umekula kwa afya kuliko kula sukari kwa wingi.
Makundi ya vyakula ni muhimu...ila namna ya ulaji sijali.Elimu zengine ni za kupuuza tu
Eti vyakula vimegawika kwenye mfungu manne...kweli.!?
Ng'ombe anakula nyasi tu na bado ana nguvu kuliko wewe tena mnene na magonjwa hapati hovyohovyo kama wewe na Mimi
Kweli wazungu wameanzia mbali kutuloga
Vipi kuhusu mayai mkuu?Kula sukari kutakuua haraka kuliko kutokula sukari.
Ulaji wetu wa sukari umekuwa ni mazoea tu, lakini ukiuzoesha mwili vyakula vingine maisha yanaendelea kama kawaida.
Mwili wako una uwezo mkubwa wa kupata nguvu kutoka kwenye mafuta na kwa uhakika kuliko kutoka kwenye sukari.
Mkuu hii ni kwelihahahaa nilimskia yule, eti maji yanaosha madini mwilini hivyo haitakiwi kunywa mengi
Can you take poison in moderation?Mwisho tutaambiwa hata hii Oxygen tunayovuta free tupunguze kidogo maana nayo ina athari kubwa. Hatari sana hii. I believe in moderation.