Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 602
- 1,264
- Thread starter
- #41
Ishu sio kukolea ishu usalama wako kiafya. Acha kufakamia. Sheria za usalama wa bidhaa ziko wazi utajua vipi tarehe ya ku expire kama haijaandikwa chochote? TafakariHata Dar hizo sukari zimejaa tele, na zinakolea vizuri tu kwenye chai.