Dogo vitu vitamu huwa havina expire kwa sababu ya utamu wake.Mwafa
Yaani hata Mimi nimeshangaa Sana, issue sensitive kama hii alaf watu wanajibu kwa dhihaka, kwa akili za namna hii ndio maana serikali inafanya inavyotaka na hakuna hatua zozote zitachukuliwaNimesoma comments zote, nilichogundua ni kwamba Watanzania tuna matatizo makuvwa Sana, hususani kwenye suala zima la namma jinsi uwezo wetu wa kufikiri ulivyo na namma jinsi tunavyoendesha maisha yetu ya Kila siku kwa ujumla wake.
We are completely not serious about our safety, especially in case of food security.
Food Security and Quality Control ni suala nyeti Sana Tena ni la MUHIMU SANA KUZINGATIWA wakati wote. Lakini ukisoma maomi ya watu wengi hapa utagundua kwamba Watanzania wengi wala hawako serious, wanachukulia mambo poa kabisa.
Kutokana na mentality za hovyo kama hizi walizonazo Watanzania wengi, KGB ya Urusi (USSR) ilifanikiwa pakubwa Sana ktk 'kuwapukutisha na kuwaangamiza Warusi' wengi sana kwenye majimbo fulani fulani ambayo KGB iliona kwamba watu wa huko walikuwa 'kirusi' au kikwaxo cha kuenea kwa itikadi ya Ukomunisti. Aidha, hata Wahindi-Wekundu wenyeji wa asili wa nchi ya Marekani waliangamizwa kabisa kimya kimya, taratibu na uzao wao wote kutoweka kabisa ktk uso wa dunia kwa kupitia ktk njia hii ya food production and supply chain.
Watanzania tubadilike!
Siyo kila homa ni malaria!
Twendeni na Maza 2025Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date.
Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
Oya bibi nani tena?bibi ndio mwenye shamba kwasasa, kwahiyo tutulie watu wajichmie shambani mwa bibi...uhai sio muhimu kwa bibi
FakamiaDogo vitu vitamu huwa havina expire kwa sababu ya utamu wake.
Mwamba utakuwa umepigwa na maisha ndiyo maana unaona wivu watu wakifanikiwa! Kwani umeona haikolezi chai? Watu mnasaidiwa maisha yawe rahisi nyie hamtaki! Kwani wanauza bei gani? Hiyo itakuwa imetoka nchi jirani wakafanya ku rebag!Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date.
Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
Akili finyu na bandia utajuaje kama wamerebag au ime expire. Urahisi halafu unajiua. Acha unguruwe kula Kila kitu.Mwamba utakuwa umepigwa na maisha ndiyo maana unaona wivu watu wakifanikiwa! Kwani umeona haikolezi chai? Watu mnasaidiwa maisha yawe rahisi nyie hamtaki! Kwani wanauza bei gani? Hiyo itakuwa imetoka nchi jirani wakafanya ku rebag!
Akili finyuAcha madeko kwani si tamu?
Kuna mtu amekulazimisha kununua?Akili finyu na bandia utajuaje kama wamerebag au ime expire. Urahisi halafu unajiua. Acha unguruwe kula Kila kitu.
Hakika mkuu yaani ni shidaMara nyingi hizo ni zile ambazo zimeisha expire sio kwenye sukari tu Kuna bidhaa nyingi wafanyabiashara Huwa wanacheza Rafi mfano unga, maziwa nk ni Mungu tu anatulinda.
Majitu akili mgando mkuuYaani hata Mimi nimeshangaa Sana, issue sensitive kama hii alaf watu wanajibu kwa dhihaka, kwa akili za namna hii ndio maana serikali inafanya inavyotaka na hakuna hatua zozote zitachukuliwa
Hii mada ingekuwa ya namna ya kumfikisha mwanamke kileleni au namna ya kuunganisha mabao bila kupumzika ungeona namna watu wanavyotiririka humu
So sad 😢
Kweli wew ni mchawiDogo vitu vitamu huwa havina expire kwa sababu ya utamu wake.
Kwani lazima ninunue mm? Kweli nchi hii inamazuzu mengi rubish!!!!!!Kuna mtu amekulazimisha kununua?
Kule ilikotoka inakuwa salama kwa matumizi yenu?? Kama sio walafi miguruweHuyu atakua katoka daslm sisi tushazoe kutumia Sukari kutoka Malawi miaka nenda rudi wanatoa Malawi ikiwa kwenye viroba inakuja kufungwa kwenye mifuko ukiinunua kwa hiyo unataka Sukari ya Tukuyu itoke Morogoro muda mwingine utasikia sijui wameficha sukari hicho kitendo Tukuyu au Kyela hakuna braza ukifika sehemu nenda na beat ya muziki...
huku Bob G kule Bob Edgar wavusha sukari za magendo maarufu miaka hiyo..Huyu atakua katoka daslm sisi tushazoe kutumia Sukari kutoka Malawi miaka nenda rudi wanatoa Malawi ikiwa kwenye viroba inakuja kufungwa kwenye mifuko ukiinunua kwa hiyo unataka Sukari ya Tukuyu itoke Morogoro muda mwingine utasikia sijui wameficha sukari hicho kitendo Tukuyu au Kyela hakuna braza ukifika sehemu nenda na beat ya muziki...