DOKEZO Sukari inauzwa madukani Tukuyu ikiwa haina maandiko yoyote, haija ‘expire date’ wala utambulisho kuwa inatoka wapi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimesoma comments zote, nilichogundua ni kwamba Watanzania tuna matatizo makuvwa Sana, hususani kwenye suala zima la namma jinsi uwezo wetu wa kufikiri ulivyo na namma jinsi tunavyoendesha maisha yetu ya Kila siku kwa ujumla wake.
We are completely not serious about our safety, especially in case of food security.
Food Security and Quality Control ni suala nyeti Sana Tena ni la MUHIMU SANA KUZINGATIWA wakati wote. Lakini ukisoma maomi ya watu wengi hapa utagundua kwamba Watanzania wengi wala hawako serious, wanachukulia mambo poa kabisa.

Kutokana na mentality za hovyo kama hizi walizonazo Watanzania wengi, KGB ya Urusi (USSR) ilifanikiwa pakubwa Sana ktk 'kuwapukutisha na kuwaangamiza Warusi' wengi sana kwenye majimbo fulani fulani ambayo KGB iliona kwamba watu wa huko walikuwa 'kirusi' au kikwaxo cha kuenea kwa itikadi ya Ukomunisti. Aidha, hata Wahindi-Wekundu wenyeji wa asili wa nchi ya Marekani waliangamizwa kabisa kimya kimya, taratibu na uzao wao wote kutoweka kabisa ktk uso wa dunia kwa kupitia ktk njia hii ya food production and supply chain.

Watanzania tubadilike!
Siyo kila homa ni malaria!
Yaani hata Mimi nimeshangaa Sana, issue sensitive kama hii alaf watu wanajibu kwa dhihaka, kwa akili za namna hii ndio maana serikali inafanya inavyotaka na hakuna hatua zozote zitachukuliwa

Hii mada ingekuwa ya namna ya kumfikisha mwanamke kileleni au namna ya kuunganisha mabao bila kupumzika ungeona namna watu wanavyotiririka humu

So sad 😢
 
Mara nyingi hizo ni zile ambazo zimeisha expire sio kwenye sukari tu Kuna bidhaa nyingi wafanyabiashara Huwa wanacheza Rafi mfano unga, maziwa nk ni Mungu tu anatulinda.
 
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date.

Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
Mwamba utakuwa umepigwa na maisha ndiyo maana unaona wivu watu wakifanikiwa! Kwani umeona haikolezi chai? Watu mnasaidiwa maisha yawe rahisi nyie hamtaki! Kwani wanauza bei gani? Hiyo itakuwa imetoka nchi jirani wakafanya ku rebag!
 
Mwamba utakuwa umepigwa na maisha ndiyo maana unaona wivu watu wakifanikiwa! Kwani umeona haikolezi chai? Watu mnasaidiwa maisha yawe rahisi nyie hamtaki! Kwani wanauza bei gani? Hiyo itakuwa imetoka nchi jirani wakafanya ku rebag!
Akili finyu na bandia utajuaje kama wamerebag au ime expire. Urahisi halafu unajiua. Acha unguruwe kula Kila kitu.
 
Ma
Yaani hata Mimi nimeshangaa Sana, issue sensitive kama hii alaf watu wanajibu kwa dhihaka, kwa akili za namna hii ndio maana serikali inafanya inavyotaka na hakuna hatua zozote zitachukuliwa

Hii mada ingekuwa ya namna ya kumfikisha mwanamke kileleni au namna ya kuunganisha mabao bila kupumzika ungeona namna watu wanavyotiririka humu

So sad 😢
Majitu akili mgando mkuu
 
Huyu atakua katoka daslm sisi tushazoe kutumia Sukari kutoka Malawi miaka nenda rudi wanatoa Malawi ikiwa kwenye viroba inakuja kufungwa kwenye mifuko ukiinunua kwa hiyo unataka Sukari ya Tukuyu itoke Morogoro muda mwingine utasikia sijui wameficha sukari hicho kitendo Tukuyu au Kyela hakuna braza ukifika sehemu nenda na beat ya muziki...
 
Huyu atakua katoka daslm sisi tushazoe kutumia Sukari kutoka Malawi miaka nenda rudi wanatoa Malawi ikiwa kwenye viroba inakuja kufungwa kwenye mifuko ukiinunua kwa hiyo unataka Sukari ya Tukuyu itoke Morogoro muda mwingine utasikia sijui wameficha sukari hicho kitendo Tukuyu au Kyela hakuna braza ukifika sehemu nenda na beat ya muziki...
Kule ilikotoka inakuwa salama kwa matumizi yenu?? Kama sio walafi miguruwe
 
Huyu atakua katoka daslm sisi tushazoe kutumia Sukari kutoka Malawi miaka nenda rudi wanatoa Malawi ikiwa kwenye viroba inakuja kufungwa kwenye mifuko ukiinunua kwa hiyo unataka Sukari ya Tukuyu itoke Morogoro muda mwingine utasikia sijui wameficha sukari hicho kitendo Tukuyu au Kyela hakuna braza ukifika sehemu nenda na beat ya muziki...
huku Bob G kule Bob Edgar wavusha sukari za magendo maarufu miaka hiyo..
 
Back
Top Bottom