Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.