Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Nawashangaa sana watoto wa bongofleva mnaoendekeza njaa!! Wengi wenu mnatakiwa mmwite kaka huyu jamaa, na wengine ni baba yenu kabsaa (kwenye mziki)! Ss mnapofunua vidomo vyenu vyenye lipustiki na kumponda mtu aliyeufinyanga huo mziki unaowapa maisha mnakuwa wakosefu wa shukrani!! Mnastahili bakora, pambf.